Kitendo alichokifanya ndio kibaya kama kweli hayo uloyaona ni ushirikina but nia yake sio mbaya maana yeye kafanya hayo ili lengo la wewe kumuoa litimie...shida ni wewe ndio unamshinikiza mpaka kufikia kufanya haya mambo...una nia kweli ya kumuoa fuata tataritb za ki imani na kama huna nia acha...
Nliwah kwenda club namuita demu ananambia wahi shule kesho kuna uji acha kudandia semitrela..kaniona mdogo kisa me mfupi lakn a
Hakjua the size of the meat nnabeba hapa mbele haifanan na ufupi wangu..mwisho wa siku nkamtolea u boo..nkamwambia na huyu anataka akupe ww uji...alishangaa akaniuliza...
Nataman binadam wangekuwa kama vifurushi vya simu yani ukishaanza kupunguza mapenz au ukishamchoka mwenzio utoe msg kuwa kifurishi chako hanmapenzi kinaanza kuisha au kipo chini ya kiwango fulan..au kifurushi chako kimeisha ..dah nahc ingesaidia sana..mana unajua mapemaaa...
Jiamni kijana mm mwenywe hapa ndizi kisukar ila amini ufupi sio kasoro weye..ufupi sio kilema...aliekuumba hajakosea hata kidogo kukuumba hvyo...ukishajikubali hakuna situation itakupa shida juu ya ufupi wako...
Shida wanaume wa humu hawana vifua...mwanaume gani unatunukiwa alafu anakuja kutangaza au anampasia mwenzie..hapa ndio hoja inakuja alafu kingne unakuta huyo binti anatiwa tiwa tuu na zaidi ya memba mmoja..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.