Tatizo mlikremishwa kanisani kuwa Tanzania ni nchi ya kikristu ndio maana mbapaniki na kuona mnanyan'ganywa haki yenu kauli za kibaguzi za kidini zimejaa humu mara anatoka mvaa kobazi anaingia mvaa kobazi dah kweli tulikuwa hatujui mengi
Hivi kuna ile filamu inaitwa love story Tanganyika na unguja Kuna mtu anayo kweli niangalie upya maana ndio ilikuwa filamu yangu ya kwanza ya kiswahili kuiona
Best of the best
Bridge of the dragon
Deadly heros
Angels 2
Erasa
No where to run ya vandame
King of the kick boxer bill blanks
Fifty fifty
My father is a hero
AWOL vandame
Hizi sarakasi mie sizielew mara kupinga bandari kuuzwa kwa muarabu mara mwarabu sio mbaya vipengele vya mkataba virekebishwe Jamani kwani tatizo ni mkataba urekebishwe au mwarabu hatakiwi
Leo ndio nimeamin humu mitandaoni unaweza kumuonea gere mtu ambae unatakiwa kumsaidia akitaka kújua life ya congo atuulize sie madereva wa malori ya kuleta bidhaa huku na kuchukua madini ya congo kuleta bandarin DSM ndio tunaijua congo in and out sio wanadanganyana hapa tunawasaidia wacongo...
Watu wanagombania mfumo dah inatisha sana kampuni ambayo ipo nchi nyingi ulaya ije ilete ukoloni Tanzania sema tu ukweli mleta Uzi kuwa una hofu na uislam kupewa nguvu na waarabu na mfumo wenu uliotengenezwa kwa miaka mingi kukosa nguvu hapa kila mtu anatetea maslah yake akitawala raisi mkristu...
Kuna gereza moja lipo iramba linaitwa ushora huyo koboko alishawah kuua sero nzima kasoro jamaa mmoja tu ndio alipona baada ya kumfunika na blanket halafu akamng'atang'ata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.