Nahitaji kuagiza gari, kwa njia ya mtandao mwenye uzoefu anisaidie kujua yafuatayo;
1.namna ya kuagiza
2.Namna ya kulipa
3. Tax excemption kama ni mtumishi serikalini
4. Gari aina ya Ist
5. Inafika baada ya muda gani
Je ni madhara gani anaweza yapata mama mjamzito endapo siku zake za kujifungua zimefika na chupa imeshapasuka na hasikii uchungu ushauri namna ya kumsaidia huyu dada jamani Mzizi mkavu
Wadau nauliza ni shule zipi za serikali za sekondari zinafundisha masomo ya compyuta na ipo wilaya ipi, kama unaijua maeneo ya kawe, tegeta , mbezi kimara , mwenge naomba tujuzane wadau wa elimu.
Baada ya ku unlock simu ya sumsung imepoteza network naombeni msaada wadau namna ya kurudisha network ya simu ambayo imekuwa lockedby carrier , simu yenyewe nisumsung windows phone nawasilisha
Naomba mwenye kujua shule ya sekondari ya serikali iliyopo maeneo ya wilaya ya kinondoni wanayotoa accomodation, na iwe maeneo ya tegeta, kijitonyama au mbezi ya kimara nijuzeni wadau
Kuchukua mkopo na kuanzisha biashara au kuchukua mkopo na kuanza ujenzi kama una kiwanja tayari kipi bora kianze wadau, karibuni kwa maoni na mawazo huru
Mwenyekujua scale za mishahara ya Tume ya vyuo vikuu, kuna ndugu yangu aliomba kazi hapo na sekta binafsi flani hajui aende wapi anauliza maslahi ya koja upande wa sekta binafsi keshajua bado huko kwingine, mwenye kujua anijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.