Recent content by Agomae Aishe

  1. A

    Ali Karume atangaza rasmi Tanganyika na Zanzibar kuongozwa kijeshi kama serikali mbili zitakataliwa

    Naona laana ya Kakobe inaanza rasimi na huyu Karume. Huko ndio kuchafuka kwa lugha. Naona kila mtu sasa ana usemi usioelewana na mwenzake. Mwisho wa yote, haki itokayo kwa Mungu itatawala
  2. A

    Utayapata tanzania pekee

    Hii ni kama yaliyokuwa yakifanyika katika Majuha government
  3. A

    Kanumba tulikuwa nae kwenye msitu anatutesa sana niachieni

    Hii nimeipenda... Kweli humu nchini kuna fursa nyingi
  4. A

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Sioni kama serekali hii ina uhalali wa kuendelea kuwepo madaraani. Nashauri kama sisi wenyewe tumeshindwa tuombe msaada wa jamii ya kimataifa ikiwepo the huge
  5. A

    wachaga mbona mnawalazimisha dada zetu mliowaoa kunywa damu

    Vyote, Biblia na Quran vinakataza ulaji wa damu. Ni machukizo mbele za Mungu. Yesu hakula kitu chochote kilichokuwa na damu, wala hakula damu yenyewe. Mwenyezi Mungu amenukuliwa akimuagiza Nabii Musa katika Taurati, Kumbukumbu la Tourati 12: 16, “ Lakini msile damu ya wanyama hao; imwageni damu...
  6. A

    Msaada wa kununua gari

    Hatuwezi jua sana maana hatuko moyoni mwako ila mara nyingi hata wanaouza kwa sababu gari ina matayizo wanasema ili wanunue......... Kwa ajili ya familia. Mshauriwa kuwa makini
Back
Top Bottom