Recent content by Agnes Madaa

  1. Agnes Madaa

    Nimekaa nikafikiria, nikaona biashara ya matunda itanifaa zaidi

    Kwamba nizungushie matunda yangu kwenye maduka ya humo humo Kariakoo tu, ama? Mi sikuona mahali ambapo naeza eka biashara yangu nikakaa nikatulia. Mji wa watu huu kaka Naomba muongozo jamani
  2. Agnes Madaa

    Nimekaa nikafikiria, nikaona biashara ya matunda itanifaa zaidi

    1st of all niwashukuru nyoote mliofunguka maoni yenu, truth of all yanatia hamasa na kidogo mtu unapata mwangaza wa kuthubutu Nimefikia hatua nimeafiki biashara ya kutembeza mchanganyiko wa matunda yaliyokatwa katwa. Hence, siku ya kesho naingia kulangua matunda yangu although nimeshauriwa...
  3. Agnes Madaa

    Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

    Siko hivyo mimi, na ndio maana nimeamua kuacha hata kazi za ndani
  4. Agnes Madaa

    Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

    Ngoja nilifikirie hili wazo kwa umakini. Kwa kuwa umesema juu ya uwepo wa wateja kutoka moyoni, nadhani Mungu atasaidia
  5. Agnes Madaa

    Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

    Wateja ntapata kweli? Ni wazo zuri lakini nawazia wateja. Binadamu wa siku hizi kupima uzito ni mpaka wapewe ushauri na daktari Wateja kaka
  6. Agnes Madaa

    Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

    Ooh! Hayo matunda nayauza hivyo hivyo yakiwa raw, au natakiwa kuyakata kata ili niipate hiyo elfu saba? Na ni kweli kuwa nitaenda kuipata hiyo faida ya elfu saba? Inashawishi kufanya
  7. Agnes Madaa

    Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

    Na nikisema labda hizo plates nikazisambaze stand ama posta, nitapata wateja kweli!!!? Maake niliwahi kufanya hii biashara mwaka jana, lakini ndani ya siku tatu tu nilikata tamaa kutokana na wateja kuwa wachache Sijui biashara yangu ilitupiwa mapepo!!🤔 Kingine kinachoniwazisha, nitafanya nini...
Back
Top Bottom