Tangazo Tangazo anaehitaji asali nzuri kutoka mikoani anifate in box kwa Maelezo zaidi napatikana Dar es salaam nauza bei ya jumla na rejareja asanten piá kalibuni Sana
Msaada jamani kwa anejua chuo hiki cha afya kipo boko dsm je kina hostel na hospital pale? Naomben pie Na joining instruction mwenye nayo nitumie asanten
Je? Mtu anweza lipia tena mpesa au tigo pesa kwaajiri ya application fee? Au itatumika ileile meseji ya mwanzo alotumia kuomba vyuo? Au atalipia pesa Tena nyingne naombeni kujibiwa ahsante
Samahani wana jf kuna ndugu yangu yuko jkt lkn kanambia nimuangalizie kama kachaguliwa st john lkn sijajua niingilie wapi ili niweze pata njia rahisi ya kuona majina ya waliochaguliwa asanten sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unitumie tovuti yao pamoja na jinsi ya kuomba mkopo katika chuo chao ngazi ya diploma masomo yangu Bios B chemistry C, phy B, math E, kisw E hist C English D cv D, geo D je nikozi gani ni nzri kusoma ktk ajira naombeni mnisaidie plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuapply mtandaoni au mpka chuoni kabisa? Na je? Wanatoa mkopo kwa aliemaliza kidato cha nne? Na nikozi gani walizonazo pia kwa ufaulu huu bios B, chemistry C, phy B math E, English D, kisw E, hist D, civ C,Geo D mtu anaweza soma kozi gn hapo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp matokeo haya bios B, chemistry C, physcs B English D, math E Kati ya muhimbili, lugalo, mirembe, kibaha mtu anaweza kuchaguliwa diploma ya nursing?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.