Mbona maneno ni mengi sana kuliko maelekezo mpaka tunaona kama tunataka kupigwa bwana. Kama una viwanja unauza eleza viko wap umbali gani kutoka barabara kuu vina ukubwa gan na ni tsh ngap. Sasa ndug yangu una maneno mengi mno kuliko maelekezo. Au nyie ni wapigaji mnataka kupiga watu?
Ndugu yangu wazo lako ni zuri sana tena sana. Lakin kwa dilunia sasa mtu kumwamini mtu mpaka umtumie pesa ni ngumu. Mtu akitaka kukupiga anaweza kutafuta tu nyumba na akapigia watu. Mi ushauri wangu kwako ni ungefungua kampun ya ujenzi na ukawa na document zote zinazohitajika yan ukatengeneza...
Mimi binafsi nimependa sana ulivyosema kuwa haudonload nyumba kwenye mitandao bali mnachora ramani. Make tumeshatapeliwa sana na watu. Kama ramani mnachora wenyewe basi nitakuwa mmojawapo wa wateja wenu wa kwanza mwaka huu wa 2018.
Wew masopakyindi yaekekea upeo wako ni mdogo sana. Unafikiri vitu kirahisirahisi sana. Ni muhm kabla ya kusema serekali yako imfukuze baloz wa marekan ujiulize je Tramp yupo sahihi au sio sahihii.
Mbona hizo picha zimepigwa masokon, msitafute umarufu kwa nguvu umarufu huja wenyewe. Kama ni kweli twende ubungo tuangalie wanaokosa usafiri wa kwenda bukoba ni wangap? Achen ushamba wahaya.
KWA MIMI NINAVYOFAHAMU NI KWAMBA KANISANI NI MAHALI PATAKATIFU KULIKO SEMU ZOTE NA NDIO MANA WATU WOTE TUNAPAHESHIMU. NA TUINGIAPO KANISANI TUNAJUA TUMEINGIA MAHALI AKAAPO MUNGU MTAKATIFU. SASA KAMA KANISA KATOLIKI WAMESHAFIKA HUKU HADI KURUHUSU VIDUKU MADHABAHUNI BASI HAPO INABIDI TUTAFAKARI...
Mkuu Rais ataweaza hayo yote kama akikubali kubadili katiba ya nchi. Bila katiba hakuna kitachoweza kufanyika. Atamaliza muda wake na tutabakia kusema sisi watanzania nia nan aliyetuloga? Kama kweli Rais ana nia ya dhat ya kuwakomboa watanzania basi abadili katiba haraka sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.