Peaceful Warrior
Senior Member
- May 28, 2013
- 125
- 28
Chumba kipo mbezi makonde 100kHata kama utakuwa na nyingine mbezi au kimara niambie lakini kwa hayo maeneo isizidi 100,000/= mpaka 150,000/= tu ndio level yangu
Chumba kipo mbezi makonde 100kHata kama utakuwa na nyingine mbezi au kimara niambie lakini kwa hayo maeneo isizidi 100,000/= mpaka 150,000/= tu ndio level yangu
Sitaki chumba bali nahitaji nyumba ya kuweka familiaChumba kipo mbezi makonde 100k
Anakimbia mateja, jamaa hawafai ikifika mida ya wanga tu wanakuja kupekenyua dirishaShida ninayoiona hapa ni moja tu, hiyo nyumba haipangishwi na mwenye nyumba bali inapangishwa na mpangaji, yeye ameng'ang'ania tu arudishe kodi yake ya miezi miwili ili aondoke jambo ambalo litakuwa gumu kwa usawa huu wa uncle Magu
Endelea kutafuta mkuu, lakini bora utwambie unakimbia nini huko