Ni sahihi haya uliyoyaandika! Lkn si rahisi kwa mtu wa kawaida kuelewa kwa sababu ni mambo ya ndani sana kwa kila mfanyabiashara aliefanikiwa na mara nyingi hubaki siri. Ndiyo maana wafanyabiashara wengi waliofanikiwa (wenyeviti wa makampuni makubwa, ceo na hata binafsi) hawawezi kukueleza namna...
Habari zenu
Ndugu zangu nina ofa ya mil 15.7 (hela hii pamoja na udalali kama una wewe ni dalali unaeuza) cash nahitaji mwenyewe moja kati ya gari hizo mbili ambazo ni Toyota Vellfire au Toyota Alphard (model mpya)
Sio lazima iwe namba E lkn ikiwa D basi iwe ya mwisho mwisho au hata E ya mwanzo...
Habari zenu
Nauza Toyota Harrier yenye maelezo haya:
1. Jina: Toyota Harrier
2. Modeli na: MCU30
3. Aina ya bodi: Station wagon
4. Uwezo wa injini: 2490cc
5. Mwaka wa kuundwa: 2003
6. Rangi: Nyeupe ya kufififia
7. Saizi ya rims: 20' ya aluminiam na matairi yamefungwa mapya mwezi Disemba, 2023...
Habari za leo!
Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana:
1. Meza kubwa moja (imported)
2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka
3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi Januari,2024)
Fenicha zote hizi nauza kwa pamoja kama zilivyo sh 800,000 maongezi yapo
Zinapatikana...
TAARIFA: AC IMESHAUZWA
Habari zenu
Nauza ac inafaa kwa chumba size sq 14 hv maana imefungwa bado haijafunguliwa inafanya kazi. Ni kuja kuwasha kuhakiki na kama una fundi wk mnaifungua na kuondoka nayo
Ni ac ndogo btu 9000, nilikuwa naitumia mwenyewe hadi sasa ila nahama ofisi yenye ukubwa...
Habari zenu,
Naomba ushauri juu ya injini ya gari tajwa hapo juu 1KD ya gari aina ya Toyota Land cruiser prado (120) nahitaji kununua.
Sina uzoefu na gari zinazotumia diesel.
Hivyo naomba mwongozo juu ya uimara wake, changamoto zake.
Suala la mafuta kutumia sn au laa sio ishu kwa sababu...
Wazo lako ni zuri japo inaonekana kwa members wengi kuona kama haiwezekani. Ila binafsi naona hili linawezekana kama utafuata taratibu zifuatazo ambazo hazitofautiani sana na usajili wa kampuni binafsi za ulinzi
A: USAJILI- BRELA
Hapa utafuata taratibu zote za awali za usajili wa kampuni ambapo...
Habari za leo!
Napenda leo tuangazie makala hii juu ya taratibu za kufunga kampuni ya biashara hata kama imekuwa katika shughuli za kibiashara kwa miaka mingi
Wafanyabiasha wengi hupenda kufanya biashara kwa mafanikio makubwa katika muundo wa mtu binafsi au washirika au kampuni yenye ukomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.