Recent content by AFRICAN POWER

  1. AFRICAN POWER

    Kwanini Ujenzi wa Ulaya (Ukraine) hawaweki lenta?

    Jibi ni wao hujenga kuta mbili kitaalam mjengo huo huitwa CAVITY WALLS na katikati ya zile kuta huwekwa waya ambao hauonekani unaitwa Tie. Umbo lake kama tai ya shingo
  2. AFRICAN POWER

    Wanawake mnaosafiri na watoto mnaleta kero kwa abiria wengine

    Nashindwa kuelewa huwa wana kwama wapi. Au huwa wanakosa siti za pamoja?
  3. AFRICAN POWER

    Kwangu mimi hawa ndio wachezaji bora wa muda wote kwa timu za Yanga na Simba na Taifa Stars miaka ya 90s, wewe je?

    Sawa kabisa ila jamaa walijitajodi kuchez a sana..BADO NATHAM8MI MCHANGO WA MAJEMBE YALE. Ila haya mambo ya ndumba haya siku moja kulikuwa na me hi ya simba na Yanga ilifanyika Dodoma, Mi sikwenda uwanjani lwasababu watoto wa mtaani tuliitwa kwa Mzee mmoja Kibamba huyu mzee aliuchezesha mpira...
  4. AFRICAN POWER

    Kwangu mimi hawa ndio wachezaji bora wa muda wote kwa timu za Yanga na Simba na Taifa Stars miaka ya 90s, wewe je?

    Hakika mkuu. Mi sinta sahau siku SIMBA ilipocheza na STELLAR ABIDJAN. Nakum uja nilikuwa Darasa la 7 kikosi kilikamilika tulipo fungwa lile bao nilizimia mkuu hadi kulazwa
  5. AFRICAN POWER

    Kwanini Ujenzi wa Ulaya (Ukraine) hawaweki lenta?

    Wana jenga cavity walls mara nyingi haziwekwi lenta badala yake kunakuwa na TIE
  6. AFRICAN POWER

    Kwangu mimi hawa ndio wachezaji bora wa muda wote kwa timu za Yanga na Simba na Taifa Stars miaka ya 90s, wewe je?

    Kassim Manara Kitwana Manara Sunday Manara Aberdeen Mziba Erick Sagala Mtemi ramadhani Ahmad Kimolo ( RIP)alichezea simba akitokea CDA ya Dodoma Israel Aden Rage pia alichezea Simba akitokea CDA ya Dodoma Ally Kimolo( Hakudumu kwenye mpira. Madarka Seleman Paul Kimti Mohamed Kahabuka SEMBULI...
  7. AFRICAN POWER

    Kwangu mimi hawa ndio wachezaji bora wa muda wote kwa timu za Yanga na Simba na Taifa Stars miaka ya 90s, wewe je?

    Mojamed Mwameja Malota SOMA Deo Njohole Idd Pazi Hamis aka Bwalya Mtwa Kheelo Musa Kihwelo Jamhuri Kihwelo Lillah Shomari Zamoyoni Mogela Raphael Paul ( RP) George Massatu ( mtu na nusu) Hussein Masha Edward Chumila Mchunga Bakari Method Mogela Deo njohole Victor Mkanwa Hata miaka sikumbuki...
  8. AFRICAN POWER

    Canola ni zao la mafuta linaloweza kuleta unafuu wa tatizo la uhaba wa mafuta Tanzania

    Hapana mkuu sikuliona kumbe ndo maana ukajibu kwa hasira
  9. AFRICAN POWER

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Si unaona kalinyonga na kamba bila hivyo huyo angekuwa finyango zaamaniii
  10. AFRICAN POWER

    Canola ni zao la mafuta linaloweza kuleta unafuu wa tatizo la uhaba wa mafuta Tanzania

    Mleta mada MIMI NATAKA MBEGU tuu niambie inapatikana wapi na bei yake
  11. AFRICAN POWER

    Kilimo cha Canola (Rapeseed) kinaweza kutupunguzia uhaba wa mafuta ya kula

    Mkuu nahitaji mbegu ya hiyo canola au rapeseed Taipataje? Msaada tafadhali
  12. AFRICAN POWER

    Mwafrika ameshindikana, angalia picha hii

    Nenda vijijini kaone mkuu tena hiyo hana mizigo bado mzigo wa kuni
Back
Top Bottom