Hali imebadilika miaka hii, Wasomi (wanavyuo) wanalalamika ajira kubwa zaidi ni kuwa wanaajiriwa na watu ambao hawasoma elimu ya juu.
Mwanachuo unategemewa na jamii kuanzisha fursa ili uajiri watu.
Mwanachuo wewe ni kioo cha jamii, unategemewa kutoa maamuzi ya busara katika jamii yako katika...
Kwa mfano: KILIMO kinalipa kwa sababu kila siku lazima wale chakula. Ndo maana hii ni fursa kubwa Africa hata sasa kwa sababu kuna nchi zina uhaba wa chakula.
Ningependa tu-orodheshe kero/matatizo/uhaba wa kitu katika jamii zetu ili iwe fursa kwa mwanaJF atakaesoma Uzi huu
Jinsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.