harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,898
- Thread starter
- #21
Akuna nlichozingua hapo mkuu2 na 7 umezngua mkuu
Akuna nlichozingua hapo mkuu2 na 7 umezngua mkuu
Mkuu sasa huna jiko na haujawahi pika. Iweje tena 7 ulshawishiwa kupika na vifaa mlitoa wapAkuna nlichozingua hapo mkuu
Hyo mshikaj ndio alikua na vyombo mkuuMkuu sasa huna jiko na haujawahi pika. Iweje tena 7 ulshawishiwa kupika na vifaa mlitoa wap
Umesomeka mkuuHyo mshikaj ndio alikua na vyombo mkuu
PamojaUmesomeka mkuu
Mimi nlikua mvivu balaa
1) mende akiingia ndani nlikua siangaiki nae namuacha ale jeuri yake..hamalizi siku mbili bila kumkuta kafa
2) sikuwai kupika wala kua na jiko
3)nikianua nguo nlikua nazitupa kwenye sofa nazivaa ad ziishe bila kukunja wala kupasi
4)nlikua na pasi lakini naweza kuiwasha mara2 kwa mwaka
5)suruali za kitambaa na mashart zilikua hazivaliwi labda kuwe na tukio maalumu
6)sikuwai kuogea maji ya moto iwe msimu Wa joto au baridi
7)kuna Mshkaji aliamia siku moja kafoce tupike mi nkapika mboga yeye kapika wali,wali ulikua na mawe balaa ukichota kijiko kimoja kina mawe yasiopungua kumi ikabi tumeze bila kutafuna
Kama na wewe unakituko cha kipindi ukiwa bachelor sio mbaya ukashare hapa.
Hii tabia ilinitesa sanaDuuh! Narudi home sa 3 ivi usiku alafu nakoleza moto ili npike ..ile nasubiria moto ukolee naenda kujilaza ktandani, yaan mkojo ndo unakuja kunishtua mida ya sa 8 au 9 na nkija kuchek moto wangu nakuta ulishagaisha kitambo...basi nakojoa nakurud zangu kitandan
Siwezi kukuahidi bia mkuu.....Duuh! Narudi home sa 3 ivi usiku alafu nakoleza moto ili npike ..ile nasubiria moto ukolee naenda kujilaza ktandani, yaan mkojo ndo unakuja kunishtua mida ya sa 8 au 9 na nkija kuchek moto wangu nakuta ulishagaisha kitambo...basi nakojoa nakurud zangu kitandan