Jana Usiku umeme umeisha usiku wa manane, nikaingia kununua chap Tigopesa nikawa naambiwa transaction failed, nikaenda simbanking, ikagoma!
Sasa nna mtoto mdogo kukiwa giza zito anasumbua sana sana, ikabidi nipige simu call center yao, Nikaambiwa kuna kodi ya 120,000 natakiwa kulipia kwa...