Recent content by Afixa0

  1. A

    Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mwanza arejea CCM

    HY ALISHAFUKUZWA KAZI HTUNA SHIDA NA HAO WANAONUNULIWA KM PEREMENDE HAO
  2. A

    Lowassa: Kitendo cha Polisi kutukamata tukiwa kwenye kikao, kimeniimarisha na kunipa nguvu

    Sema ukweli hata mm nimepata nguvu mpya na nitahudhuria kwenye maandamano..nataka waseme tutaanzia wapi kwenda wapi basi
  3. A

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    MAGUFULI KACHUJA HADI KWENYE VILABU VYA POMBE ZA KIENYEJI
  4. A

    Magufuli ni bingwa wa Siasa Tanzania,

    MAGUFULI NI MWANASIASA WA MWISHO NA KIONGOZI ALIYESHIKA MKIA ULIMWENGUNI.............DUNIANI NA HATA MBINGUNI HANA NAFASI
  5. A

    UKUTA wa CHADEMA wapata ufa,kuanguka Septemba mosi bila hata polisi

    UKUTA UKO PALE PALE NA TUTAJITOKEZA ZAIDI YA MNAVYODHANI
  6. A

    Dar: Polisi wavamia kikao cha ndani cha Kamati Kuu ya CHADEMA, Meza Kuu yaitwa Polisi na kuachiwa

    WAMEKATAZA KWA SHERIA IPI AU KATIBA GN,,,WAFUTE VYAMA VYOTE ILI CCM IBAKI YENYEWE
  7. A

    Nape ajulikane kuwa ni "Waziri wa CCM Anayeshughulika na Kufungia Vyombo vya Habari"

    Tunazidi kuona msururu wa ukandamizwaji wa uhuru wa kupata habari,uhuru na haki ya kidemokrasia zikiminywa waziwazi. Magazeti na Radio zinazosimamia ukweli zinafungiwa kwasababu wanasema kile kilicho sahihi bila kupindisha. Watawala wanataka wasifiwe wasikosolewe ktk nchi ya Tz kwa kila...
  8. A

    Kamanda Sirro: Kuna watu wanapewa pesa ili waandamane kwenye UKUTA

    anahisi ss wananchi ni wajinga sana na huo uchunguzi uchwara...hv tz nzima utatoa sh ngp ili watu waandamane kila mkoa,wilaya nk? upuuzi tu,,,hz ni swaga za ccm apeleke lumumba
  9. A

    Baada ya Kuwambia Ukweli Sasa Wameanza Kutishia Watu Amani

    Hao ni watu wa kujipendekeza tu..kila nafsi itaonja mauti bhn..ttz ccm ina vijana vilaza wasiojua kujenga hoja,wanajua kudanganya na unafiki tupu
  10. A

    Mr. President, Ulisema tukuombee lakini Hustahili...(1kor 15:26)

    ANAYEMWOMBEA MAGUFULI HANA KAZI YA KUFANYA
  11. A

    Hakuna wa kumwaga damu kama polisi watakuja kutulinda

    Olesendeka na makundi yake ya CCM,,damu haiwezi kumwagika wakati polisi wamefanya mazoezi ya kutulinda wiki mbili kila mkoa, Tunakuomba usiwe na wasiwasi damu hazito mwagika. Olesendeka katiba unayoisoma huisomi vzr, kunavipengele unaruka hata sisi tunayo na tunisoma vizuri tu, mbona sheria ya...
  12. A

    Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka CCM

    HIVI OLESENDEKA ANATAKA DAMU ZA WATANZANIA ZIMWAGIKE MARA NGAPI? -Watanzania damu zetu zilishamwagika sasa hivi tuna maumivu makali sana na ili tupone lzm CCM itoke madarakani iwe kwa shari au kwa amani lkn ccm itatoka tu. -CCM imeshamwaga damu za watanzania kwa matukio mengi ya kikatili na ya...
  13. A

    Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka CCM

    HIVI OLESENDEKA ANATAKA DAMU ZA WATANZANIA ZIMWAGIKE MARA NGAPI? -Watanzania damu zetu zilishamwagika sasa hivi tuna maumivu makali sana na ili tupone lzm CCM itoke madarakani iwe kwa shari au kwa amani lkn ccm itatoka tu. -CCM imeshamwaga damu za watanzania kwa matukio mengi ya kikatili na ya...
  14. A

    Kuwatumia akina Cheyo, Wasanii, UVCCM, Polisi, Makundi ya wanawake ni uwoga wa CCM

    Kutumia makundi hayo yote inadhibitisha chadema ni chama dume,,wakikoroma CCM inatumia pesa nyingi kuwatuliza kwa kuwatumia hadi wasiotumika..Sasa cheyo anaweza akamshawishi nani kama ameshindwa kushawishi wananchi watoe japo uwenyekiti wa kitongoji kwa chama chache Wasanii CCM,,wale wazee wa...
Back
Top Bottom