Tunazidi kuona msururu wa ukandamizwaji wa uhuru wa kupata habari,uhuru na haki ya kidemokrasia zikiminywa waziwazi.
Magazeti na Radio zinazosimamia ukweli zinafungiwa kwasababu wanasema kile kilicho sahihi bila kupindisha. Watawala wanataka wasifiwe wasikosolewe ktk nchi ya Tz kwa kila...
anahisi ss wananchi ni wajinga sana na huo uchunguzi uchwara...hv tz nzima utatoa sh ngp ili watu waandamane kila mkoa,wilaya nk? upuuzi tu,,,hz ni swaga za ccm apeleke lumumba
Olesendeka na makundi yake ya CCM,,damu haiwezi kumwagika wakati polisi wamefanya mazoezi ya kutulinda wiki mbili kila mkoa, Tunakuomba usiwe na wasiwasi damu hazito mwagika.
Olesendeka katiba unayoisoma huisomi vzr, kunavipengele unaruka hata sisi tunayo na tunisoma vizuri tu, mbona sheria ya...
HIVI OLESENDEKA ANATAKA DAMU ZA WATANZANIA ZIMWAGIKE MARA NGAPI?
-Watanzania damu zetu zilishamwagika sasa hivi tuna maumivu makali sana na ili tupone lzm CCM itoke madarakani iwe kwa shari au kwa amani lkn ccm itatoka tu.
-CCM imeshamwaga damu za watanzania kwa matukio mengi ya kikatili na ya...
HIVI OLESENDEKA ANATAKA DAMU ZA WATANZANIA ZIMWAGIKE MARA NGAPI?
-Watanzania damu zetu zilishamwagika sasa hivi tuna maumivu makali sana na ili tupone lzm CCM itoke madarakani iwe kwa shari au kwa amani lkn ccm itatoka tu.
-CCM imeshamwaga damu za watanzania kwa matukio mengi ya kikatili na ya...
Kutumia makundi hayo yote inadhibitisha chadema ni chama dume,,wakikoroma CCM inatumia pesa nyingi kuwatuliza kwa kuwatumia hadi wasiotumika..Sasa cheyo anaweza akamshawishi nani kama ameshindwa kushawishi wananchi watoe japo uwenyekiti wa kitongoji kwa chama chache
Wasanii CCM,,wale wazee wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.