Kwamba sheria unaijua wew peke yako? CAS kwa kesi ipi?? Simba walitishia kufanya kosa na itabaki hivyo,
Swali rahisi ni kanuni hiyo ipo au haipo? Lini wamefuata hiyo kanuni na lini hawajafuata hiyo kanuni halina mantiki.
Simba hana kosa kt hili, kutishia kutocheza sio kutocheza, inaweza kutishia na bado wakacheza, so kosa la simba halikukamilika 100%. Wanaweza kusema vyovyote na wakajitoa kwenye kosa hili.. bodi ya ligi ndo ibebe mzigo huu wote.
Kwasababu maneno ya kisayansi mengi yana asili ya Kilatini, na neno Potassium limetokana na neno 'Potash' la kiingereza, mwanasayansi Josh Jakob Berzlius alipokuja ba modern system if chemical symbol akatafsiri kutoka kiingereza kwenda kilatin, ndo hiyo element kwa kilatin ikaitwa 'Kalium' hence...
Kama tayari una familia na huna vyote, anza kwanza kujenga, kama huna familia na hutegemewi yaan huna ndugu na jamaa wa kukutembelea mara kwa mara, nunua gari kwanza.
Heshima gani hiyo inaongezeka ukiwa na gari? Tatizo unadhan kuna mtu anakuzingatia kwenye Dunia hii, kaka Dunia ilipofikia hasa watu wa mjini hawana time kabisa na maisha ya mtu, ukishuka na gari popote vile unavyojiona sivyo watu wanavyokuona, Dunia imechange sana nowdays, usifanye mambo eti...
Ni op ya kawaida, kwa umahiri wa Madaktari wa Hiyo fani Hapa nchini wakiongozwa na Mwenyezi Mungu mwambie shemeji aandae tu supu ukitoka theatre uikute maana utatoka Salama salmini. Kila la heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.