Recent content by Aellyangel

  1. Aellyangel

    Msaada: Nifanye nini ili niweze ku-make hela?

    Punguza matumizi, inaonekana matumizi ni makubwa sana
  2. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Nimekaribia [emoji4]
  3. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    PCCB zinakuaga chache , alafu watu kibao
  4. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwa proffession polisi nikakosa , nikaomba PCCB kwa form 6 nikaenda usaili nikakosa.
  5. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mwaka Jana nilikosa kote
  6. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wee usinambie [emoji4]
  7. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Amina , tupate sote this time [emoji120]
  8. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kheee kwahyo kwenye huu uzi wote ni mabro , me sio bro [emoji38]
  9. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hapo kwenye namba ya jkt , tunaandika namba ipi
  10. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Samahan naomba utume hapa hiyo form ya kiambatanisho B ambayo wameupdate , nadhan wengi tulijaza ile ya mwanzo ambayo haikua na sehem ya kujaza namba ya jkt.
  11. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Nasikia wanataka zitumwe kwa njia ya kawaida , though mwenyewe nimetuma kwa Ems Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Aellyangel

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Umetuma kwa njia gani boss nikuige [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom