Recent content by Aejune48

  1. A

    Nina changamoto nayopitia ya mzunguko wangu wa kipesa. Nafanya kazi za ufundi ila kupata kazi imekua nikazi

    Inabidi ubadilishe mfumo, kwanzia sasa kupiga hesabu pia ni kazi, usipige hesabu bure.. angalau mtu akilipia gharama za hesabu ata asipokupa mchongo mzima, usibaki na lawama
  2. A

    Why has she un-blocked me? (Kwanini ameni unblock?)

    Una shida wewe. Jitafakari upya
  3. A

    Naombeni ushauri kuhusu kuoa

    Imani pekee inatosha kukufanya uwe na familia. Ukiona unaweweseka mpaka kuomba ushauri huku, tambua huna imani na hutoiweza hiyo ndoa. Kaa kwa kutulia siku ukiwa na imani utaoa bila kuuliza
  4. A

    Naombeni ushauri kuhusu kuoa

    Matatizo ya jf ni yaleyale.... Ushaambiwa usioe, hutaki kusikia. Haya pambana, wazee wenyewe walishindwa unaleta mchezo
  5. A

    Wanawake jifunzeni kumove on

    Linapokuja swala la haki sawa, hapo ndo ushetani wenyewe unaanza na kufanya ndoa ziwe upuuzi flani, Fahari wawili hawakai zizi moja mkuu, acha mihemko na utafari kwa utulivu. Ikiwa ni haki sawa basi nawaunga mkono wazee wa kataa ndoa, hakuna haki sawa kwenye ndoa
  6. A

    Kumbuka hili kuhusu mwanamke uliyenaye akipoteza hisia na wewe

    Mapenzi ni bangi tu kama madawa ya kulevya mengine, ukishakuwa teja huna akili tayari ata kwa bakora.. cha msingi epuka kupenda utakuwa mwanaume shujaa, tuishi nao ila tusijifanye tunapenda sana, maana mwisho wa mapenzi haujawahi kuwa wenye furaha
  7. A

    Ukitaka Kufanikiwa kwenye haya maisha achana na matumizi ya Smartphone

    Unataka uwe bize na kazi gani hiyo mwana matengenezo
  8. A

    Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.

    Wewe jamaa akili zako kweny mapenzi ni ndogo sana. Kheri umepatwa na hilo ujifunze na uwe na utambuzi kuhusu mapenzi. Vinginevyo ungekuja kuuza nyumba ya urithi kisa mke wa mtu.
  9. A

    TRA Tanga ni majasusi

    Wenye mamlaka ya kufanya uchunguzi ndo walewale pesa mbele na wenye kufata maelekezo ata kabla ya uchunguzi
Back
Top Bottom