Inabidi ubadilishe mfumo, kwanzia sasa kupiga hesabu pia ni kazi, usipige hesabu bure.. angalau mtu akilipia gharama za hesabu ata asipokupa mchongo mzima, usibaki na lawama
Imani pekee inatosha kukufanya uwe na familia. Ukiona unaweweseka mpaka kuomba ushauri huku, tambua huna imani na hutoiweza hiyo ndoa.
Kaa kwa kutulia siku ukiwa na imani utaoa bila kuuliza
Linapokuja swala la haki sawa, hapo ndo ushetani wenyewe unaanza na kufanya ndoa ziwe upuuzi flani, Fahari wawili hawakai zizi moja mkuu, acha mihemko na utafari kwa utulivu. Ikiwa ni haki sawa basi nawaunga mkono wazee wa kataa ndoa, hakuna haki sawa kwenye ndoa
Mapenzi ni bangi tu kama madawa ya kulevya mengine, ukishakuwa teja huna akili tayari ata kwa bakora.. cha msingi epuka kupenda utakuwa mwanaume shujaa, tuishi nao ila tusijifanye tunapenda sana, maana mwisho wa mapenzi haujawahi kuwa wenye furaha
Wewe jamaa akili zako kweny mapenzi ni ndogo sana.
Kheri umepatwa na hilo ujifunze na uwe na utambuzi kuhusu mapenzi.
Vinginevyo ungekuja kuuza nyumba ya urithi kisa mke wa mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.