Recent content by adzo 1

  1. A

    Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

    Kwanza nakupongeza mana inaonekana una high self esteem, chamsingi komaa hizo semister zilizobaki japo hujasema upo mwaka wa ngapi na semister gani
  2. A

    Ujumbe kwa Pengo: Kanisa Katoliki kutokubatiza watoto wa nje ya ndoa hauwatendei haki kiimani

    Kama mtu huna uhakika na kitu ni bora usipost au kuandika chochote tu
  3. A

    Ningekuwa Magufuli, ningemrudisha balozi wa Msumbiji nyumbani

    Tuache vyombo vinavyohisika vifanye kazi yake jamani
  4. A

    Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na Upendo Peneza, wakamatwa na Polisi Geita na kuachiwa

    Atakuwa Anapew ulinzi mana yule ni mtu Mkubwa sana apa nchini, Kwa hio hakuna shaka Kwa hilo
  5. A

    Hivi kwanini wahitimu wa Udom wanapata ajira sana

    kweli kabisa hata mimi nakubaliana na wewe
  6. A

    Naomba ushauri: Nataka kurudia kidato cha tatu

    Serikalini huna sifa tena dogo, jitahidi tu jisajili kama pc
  7. A

    Msaada kuhusu App ya thl

    lazima uwe na mb, huwezi tumia ukiwa offline
  8. A

    Maisha ya chuo ni mazuri kwa kupanga au kuishi hostel?

    nenda kaishi hostel ndio kuzuri
  9. A

    Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako afuta posho za kusahisha mitihani ya Mock na NECTA

    Mbona hio habari haina chanzo cha kuaminika? anaejua source ya taarifa hio aweke apo ili tumaini, lkn pia ni necta ipi form iv au form II?
  10. A

    UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

    hivi tunapozungumzia ubora wa chuo ni vigezo gani huwa vinazingatiwa,?
  11. A

    UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

    vyuo vyote tz vinalinganna Kwa ubora coz malecturers ni wale wale wanazunguka karibia vyuo vyote, we call them flying lecturers, kwa mana mana hio wanatoa elimu sawa Kwa wote kama watakua fair
  12. A

    Kwa PSPA na mengine kwa UDSM

    pspa tena duuu Acha kabisa
Back
Top Bottom