Recent content by Adverse Effect

  1. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Mwanamke hawezi kuwa mtiifu kwa Mwanaume Bwege, asiyejielewa.

    Waache wanaume waishi maisha yao usijifanye unawajua wanaume na wala usijipe umuhimu by the way wewe bado ni morani una safari ndefu sana.
  2. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Are You Anti-State Yet?

    Duuh, eeeh bana eeh!
  3. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu kwanini Congo haiwezi kupata amani milele

    Inasikitisha sana ila ukweli mchungu zaidi ni kwamba Tanzania inaweza kuja kugeuka kuwa kama Congo na kurudisha amani iliyopotea hadi mambo kuja kuwa sawa itachukua miaka zaidi ya 25.
  4. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania JE, UNAFAHAMU MWAKA 2026 KUNA UWEZEKANO MDOGO WA KUFANYIKA MITIHANI YA TAIFA YA KIDATO CHA PILI NA CHA NNE?

    Gen Z wanakwenda kuishangaza na kuistaajabisha serikali iliyoua na kufanya uzalimu kwa namna ambayo haijawahi kutokea. 1. Shule ambazo wanafunzi wake wataingia na kufanya mitihani ya taifa kama inavyopaswa ni asilimia 29 2. Asilimia 30 ya wanafunzi wataingia kwenye vyumba vya mitihani...
  5. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

    Kama wanakula vyako na wewe una wala vyao hakuna mbaya, wachape ilale.
  6. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Wema Wangu Umeniponza au Nilisalitiwa na Watu Niliowaamini?

    Usimuamini yeyote hata kivuli chako mwenyewe usikiamini.
  7. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Chupa ya kipa wa England ilikuwa na majina ya wapiga Penati wa Argentina

    Jambo la kufurahisha na kushangaza sana ila kikubwa ni fundisho kubwa sana katika maisha. Goalkeeper ni optimist. Bravo kwake na team yake
  8. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Mbona ghafla matamko dhidi ya Heche yamekuwa mengi?

    Wazee wa kimila wanahitaji kutahiriwa ufahamu wao wakifa kabla ya kuzikwa vijinga vya moto vinawahusu mikunduni mwao ili wengine wajifunze kuacha unafiki, uzandiki, uchawa, fitina na uchonganishi.
  9. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kuheshimu na ku-support bongo flava honors ya inayoandalia na Sugu

    Gen z wamembatiza mwana FA kuwa ni mwana falchawa.
  10. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kuheshimu na ku-support bongo flava honors ya inayoandalia na Sugu

    Uchawa ni ugonjwa unaoambukiza wengi wasiojitambua. Tokea shoo ya jana mlimani city mwana FA ataendelea kuitumia jina la mwana FA( mwana falchawa) Rasmi Mwinyijuma amevuliwa heshima ya falsafa na kutunukiwa heshima ya Falchawa. Alichokipata Falchawa Jana hatakaa akisahau.
  11. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kuheshimu na ku-support bongo flava honors ya inayoandalia na Sugu

    Tunawezaje kukosa kwanza! Hii haitakuwa na uchawa na kujipendekeza ni flavors za mwendo wa ngiri mkia juu.
  12. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Dully Sykes alipotaja jina la Makonda naye akazomewa

    Ubaya wake kamwe hautasahaulika. Kama aliua kwa upanga atakufa kwa upanga.
  13. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Si kweli wala hakuna ukweli. Nyumba ya jirani imeungua tayari, maridhiano hayatakuwepo wanatapatapa.
Back
Top Bottom