Uchawa ni ugonjwa unaoambukiza wengi wasiojitambua.
Tokea shoo ya jana mlimani city mwana FA ataendelea kuitumia jina la mwana FA( mwana falchawa)
Rasmi Mwinyijuma amevuliwa heshima ya falsafa na kutunukiwa heshima ya Falchawa.
Alichokipata Falchawa Jana hatakaa akisahau.
Caffeine ni CNS stimulant kwa hiyo inasababisha uraibu kama ikiwa abused. Substances of active ingredient kuwa released taratibu haina maana ni salama.
Aidha ni pure au vinginevyo ni kwamba caffeine ina madhara kwa afya kuliko faida.
Chukua mkopo taasisi za pesa kausha damu halafu weka nyumba rehani au kadi ya gari yako uipendayo kama unayo halafu ponda raha. Kitambi kisipo kwisha umelogwa! 🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.