Recent content by Adverse Effect

  1. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kuheshimu na ku-support bongo flava honors ya inayoandalia na Sugu

    Gen z wamembatiza mwana FA kuwa ni mwana falchawa.
  2. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kuheshimu na ku-support bongo flava honors ya inayoandalia na Sugu

    Uchawa ni ugonjwa unaoambukiza wengi wasiojitambua. Tokea shoo ya jana mlimani city mwana FA ataendelea kuitumia jina la mwana FA( mwana falchawa) Rasmi Mwinyijuma amevuliwa heshima ya falsafa na kutunukiwa heshima ya Falchawa. Alichokipata Falchawa Jana hatakaa akisahau.
  3. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kuheshimu na ku-support bongo flava honors ya inayoandalia na Sugu

    Tunawezaje kukosa kwanza! Hii haitakuwa na uchawa na kujipendekeza ni flavors za mwendo wa ngiri mkia juu.
  4. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Dully Sykes alipotaja jina la Makonda naye akazomewa

    Ubaya wake kamwe hautasahaulika. Kama aliua kwa upanga atakufa kwa upanga.
  5. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Si kweli wala hakuna ukweli. Nyumba ya jirani imeungua tayari, maridhiano hayatakuwepo wanatapatapa.
  6. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Kuinusuru CHADEMA kisiasa, Heche, Lema na Sugu wabanduliwe uongozini ili kukipa chama pumzi na uelekeo mpya kisiasa

    Hao uliowataja ni marijali hawawezi kubanduliwa kama wewe unavyo banduliwa sababu ya buku saba.
  7. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Azam Energy hawaoneshi kiwango cha caffeine kilichopo kwenye vinywaji hivyo?

    Caffeine ni CNS stimulant kwa hiyo inasababisha uraibu kama ikiwa abused. Substances of active ingredient kuwa released taratibu haina maana ni salama. Aidha ni pure au vinginevyo ni kwamba caffeine ina madhara kwa afya kuliko faida.
  8. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti BAVICHA, Patrobass Katambi naanza kupoteza imani kwako!

    Duuh noma sana.
  9. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Wakuu njiani nzuri ya kutumia ili kuondoa kitambi

    Chukua mkopo taasisi za pesa kausha damu halafu weka nyumba rehani au kadi ya gari yako uipendayo kama unayo halafu ponda raha. Kitambi kisipo kwisha umelogwa! 🤣
  10. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Azam Energy hawaoneshi kiwango cha caffeine kilichopo kwenye vinywaji hivyo?

    Mkuu, guarana ni central nervous system stimulant ina caffeine pia ambayo inasanabisha uraibu ukitumia kwa muda mrefu unakuwa tegemezi.
  11. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Pacome, Kitima na Warioba wametembelewa

    Sema nini mwanangu, waratibu wa hizo ziara wameonyesha uwezo wao finyu walionao.
  12. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania TANESCO LUKU TOKEN

    Hapo sawa umesomeka mkuu.
  13. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania KERO Imekaaje unanunua umeme, TANESCO wanakata pesa bila kukwambia ni deni gani unakatwa?

    Kila mwezi mpya wanakata Kodi yao, hapo jambo gani huelewi?
  14. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Balozi Emmanuel Nchimbi amtembelea Jaji Joseph Warioba nyumbani kwake

    Mass brainwashing.
  15. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Meya: Kwanini umeacha bar ya bambataa iendelee kufanya kazi na iko barabarani inahatarisha usalama wa walevi

    Umenikumbusha kipindi chetu pendwa cha Africa Bambataa.
Back
Top Bottom