Recent content by Adverse Effect

  1. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

    Umelonga jambo la maana sana. Teknolojia imefanya watu wasiojitambua mazombi.
  2. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Sasa najitunza DIY ya furnature na welding kwaajili ya matumizi ya nyumbani

    Safi sana mkuu, keep it up. Do it yourself ndio mpango mzima.
  3. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Millenials walikuwa washamba sana. Sasa kuweka BLUU kwenye mashati ya shule ilikuwa ndio nini?

    Hakuna ushamba ni nyakati na zama tu mkuu. Fashion huja, kupita halafu zinarudi tena. Enzi zile floor nzuri ilijengwq kwa sakafu ya tarazo ikapita zikaja tiles nazo watu wamezichoka wanarudi kuweka sakafu ya tarazo tena.
  4. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Mkuu tumia code usitaje na ku expose majina. Mikoroshini ni pa dogo sana na Dunia ni kama Kijiji.
  5. Adverse Effect

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke mwenye hasira kali na mrahisi wa kuzila na kufoka?

    Jitahidi kuheshimu matakwa yake kwa kuweka na kuheshimu space au boundary kati yenu. Punguza attention na wewe usijipe umuhimu wa kutaka kubadilisha tabia zake hiyo si kazi wala wajibu wako. Unapaswa kujitambua wewe kwanza, mabadiliko yanapaswa kuanzia kwako.
  6. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Umenifurahisha sana ulivyojifanya mbugila na fala kumbe akili ku mkichwa zimejaa hadi zinamwagika. Yote tisa, je marejesho unarudisha au ulifanikiwa kumaliza mkopo? Sababu ulitumia vitambulisho vyako halisi vya NIDA
  7. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Madonna, Shakira na BTS Kutumbuiza Fainali ya Kombe la Dunia

    Madona enzi zake miaka ya 1980's alikuwa moto sana. Mauno ya Shakira nafananisha na RC a.k.a kiuno bila mfupa
  8. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Ukiona ni chai chukua kikombe kikubwa na mkate unywe

    Sababu ya hayo ni collective human dysfunction na Ego walizokuwa nazo machawa wa viongozi na mfumo.
  9. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Kama wanaotoka jela wanarudi na ujuzi, kwa Nini tusiwafunge vijana wote wakapate ujuzi huko?

    Mkuu ukishakuwa kiongozi mentality yako inabadilika na kuwa usimuamshe aliye lala.
  10. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Inasemekana huyu mwamba ni tapeli wa kutisha, kuna yeyote anamfahamu?

    Mkuu usichokijua ni sawa na usiku wa giza. Matapeli wengi wa mjini wanajua kucheza na matobo pamoja na mapungufu ya Sheria za nchi.
  11. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Inasemekana huyu mwamba ni tapeli wa kutisha, kuna yeyote anamfahamu?

    Tamaa ya kupenda mserereko wa kwa sadala au kitonga huishia kutapeliwa. Kwanini ununue gari la bei rahisi bila kulinganisha na thamani halisi?
  12. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao waonesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga, Humphrey Polepole alishatuonya

    Umasikini na ufukara wa watanzania wengi ni fursa kubwa sana kwa mafisadi na mabwanyenye wachache katika taifa hili.
  13. Adverse Effect

    JamiiForums Tanzania Itambue dhima ya jukwaa la chitchat itakusaidia mengi

    Iron smith ( mfua vyuma) umesomeka vyema sana. Binafsi nimejifunza kikubwa kuhusu chit chat kupitia uzi huu leo nitapiga hodi jukwaa hilo.
Back
Top Bottom