Sijui ni nani alimloga mtu mweusi muafrika?
Tumbaku ni SUMU, inasababisha magonjwa ya saratani n.k
Bangi, ganja, msubaa, kijiti, cha ukucha, cha arusha ni DAWA
Serikali na watawala hawataki watu wajue ukweli kuhusu Bangi ili waendelee kuwatawala na kuwaswaga kama makondoo kirahisi...
Ukiona mtu anatukana basi hayo matusi huakisi jinsi mtukanaji alivyo.
Kwa mfano; mtu akikuambia wewe mshenzi, maana yake yeye ndio mshenzi na huo ushenzi upo kwake sasa anajaribu kufanya wewe ufanane naye.
Golden rule ninayotumia mtu akinitukana huwa nakaa kimya, natabasamu na kuendelea na...
Msichokijua kuhusu Paka!
Paka ana uwezo wa kukuona nje ndani yaani kufahamu kama una hasira, furaha, huzuni n.k. Na kupitia uwezo wake huo anaweza akamsaidia binadamu kujisikia vizuri kwa kuondoa hisia mbaya au nishati hasi katika mwili.
Kwa watu wenye Sonona/ depression au wagonjwa wenye...
Nimevaa viatu vyako nikajua unavyojisikia, pole sana ila bi mkubwa alizingua kinyama! Nyakati na majira vitakuponya. Vidonda vitapona yatabaki makovu na yenyewe yatapotea utasahau. Songa mbele hayo yameshapita.
Watanganyika ni masikini waliozaliwa na kuishi katika nchi yenye utajiri mkubwa usio na faida wala manufaa kwao isipokuwa kwa vikundi vya wahuni wachache.
Amazing Tanzania
Mkuu kereka na umasikini wako ili uwe tajiri achana na makasiriko yasiyo na tija. Furahia yale yaliyo ndani ya uwezo wako na uwezayo kuyabadilisha vinginevyo utafika umechoka sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.