Recent content by Adverse Effect

  1. Adverse Effect

    Serikali yataka umakini na tafiti juu ya kuruhusu matumizi ya bangi

    Sijui ni nani alimloga mtu mweusi muafrika? Tumbaku ni SUMU, inasababisha magonjwa ya saratani n.k Bangi, ganja, msubaa, kijiti, cha ukucha, cha arusha ni DAWA Serikali na watawala hawataki watu wajue ukweli kuhusu Bangi ili waendelee kuwatawala na kuwaswaga kama makondoo kirahisi...
  2. Adverse Effect

    Mtu anapomtukana mwenzake anafaidi nini?

    Ukiona mtu anatukana basi hayo matusi huakisi jinsi mtukanaji alivyo. Kwa mfano; mtu akikuambia wewe mshenzi, maana yake yeye ndio mshenzi na huo ushenzi upo kwake sasa anajaribu kufanya wewe ufanane naye. Golden rule ninayotumia mtu akinitukana huwa nakaa kimya, natabasamu na kuendelea na...
  3. Adverse Effect

    Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

    Mimi sio bosi wako sikujui wala hunijui ila ningekuwa bosi wako ningekuchukia pia ila sijui kwanini? aha aha aha just a joke pole sana mkuu.
  4. Adverse Effect

    Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

    Napata madini na kujifunza hapa, mada nzuri sana.
  5. Adverse Effect

    Unapenda Paka? Tupia picha ya Paka wako tumuone

    Ulimwengu umegawanyika katika pande mbili MWANGA na GIZA kamwe hatutaacha kujadili pande zote mbili.
  6. Adverse Effect

    Unapenda Paka? Tupia picha ya Paka wako tumuone

    Msichokijua kuhusu Paka! Paka ana uwezo wa kukuona nje ndani yaani kufahamu kama una hasira, furaha, huzuni n.k. Na kupitia uwezo wake huo anaweza akamsaidia binadamu kujisikia vizuri kwa kuondoa hisia mbaya au nishati hasi katika mwili. Kwa watu wenye Sonona/ depression au wagonjwa wenye...
  7. Adverse Effect

    Ni maendeleo gani Makonda aliyoyafanya akiwa mkuu wa mkoa wa DSM?

    Kila jumamosi usafi ulifanyika mitaa, masoko na maeneo ya makazi, biashara yalipendeza sana.
  8. Adverse Effect

    Namchukia sana Mama yangu

    Nimevaa viatu vyako nikajua unavyojisikia, pole sana ila bi mkubwa alizingua kinyama! Nyakati na majira vitakuponya. Vidonda vitapona yatabaki makovu na yenyewe yatapotea utasahau. Songa mbele hayo yameshapita.
  9. Adverse Effect

    Baada ya 'Royal Tour', Serikali sasa yaja na filamu nyingine iitwayo 'Amazing Tanzania'

    Watanganyika ni masikini waliozaliwa na kuishi katika nchi yenye utajiri mkubwa usio na faida wala manufaa kwao isipokuwa kwa vikundi vya wahuni wachache. Amazing Tanzania
  10. Adverse Effect

    Ugumu wa maisha ndiyo utakuja kuiangusha CCM

    Bado watanganyika wengi wamelala siku wakiamka usingizini ndio itakuwa mwisho wa CCM. UAMSHO NA UKOMBOZI UMEKARIBIA.
  11. Adverse Effect

    Je, ni sahihi Mwamposa kuimba wimbo wa taifa kanisani kwake?

    Mkuu kereka na umasikini wako ili uwe tajiri achana na makasiriko yasiyo na tija. Furahia yale yaliyo ndani ya uwezo wako na uwezayo kuyabadilisha vinginevyo utafika umechoka sana.
  12. Adverse Effect

    Kwa jicho la mbali, Makonda alikuwa anajijenga yeye na sio chama

    R- Chuga ile mibangi yenu mnayavuta na stimu za kulanduka + shisha + mirungi mjiandae kisaikolojia.
Back
Top Bottom