Recent content by Adverse Effect

  1. Adverse Effect

    Una lipi la kuongezea kwenye maisha Uswazi?

    Yote tisa usisahau mambo ya chabooo! Jirani wakinyanduana hakuna dari/singibodi usiku ni raha na kero za miguno kwa kwenda mbele.
  2. Adverse Effect

    Je, ni kweli mwanaume unajua kuwa chakula hiki hakikupikwa na mke wako?

    INTENTION + FOOD = ENERGY Issue kubwa si chakula na kula na kujaza tumbo tu bali pia intention ya anayekipika na kukianda ni muhimu sana.
  3. Adverse Effect

    Wapo wanaouona ukweli kila siku… lakini bado wanachagua kuamini wanachoambiwa

    Ulimwengu una pande mbili joto na baridi, kulia na kushoto, juu na chini, mwanga na giza, ndani na nje n.k. Tuna utashi wa kuchagua kama nimechagua giza ni chaguo langu halikadhalika kama umechagua mwanga ni hiari yako. kama ni hiari na chaguo lako upo sawa katika mtazamo na mwenendo wako...
  4. Adverse Effect

    Leo nimeshuhudia mwanaume akipigwa makofi na mwanamke

    Kofi ni noma yaani linawasha halafu linakukuna at the same time unakuwa kwenye frustration mode. Bora upigwe ngumi kuliko Kofi kwa mtu mzima
  5. Adverse Effect

    Kitu gani kinamsisimua mwanamke

    Siku utakapotambua kuwa mwanamke haitaji kusisimuliwa ndipo utajipiga kifuani na kusema hakika nilikuwa mpumbavu.
  6. Adverse Effect

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Maisha yangu ni wajibu wangu kwa asilimia mia moja na ninawajibika katika yote yanayonihusu na sina sababu ya kumlaumu yeyote.
  7. Adverse Effect

    Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    Pole yako ndio umejua leo. Bank ni robbers kwa masikini kama wewe ambao unatumia benki kupitishia mshahara au malipo yako.
  8. Adverse Effect

    RC Chacha asitisha mkutano wa injili wenye viashiria vya mapenzi ya jinsia moja Tabora

    Tabora hakuna RC hapo ni msanii tu huyo mpenda kiki na content creator wa issue za kipumbavu.
  9. Adverse Effect

    Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

    BBB unaijua hiyo code? Business Behind the Business
  10. Adverse Effect

    Tangazo la kupotea kwa Mtoto wa kike

    Mbongo bana! Akiwa ana shida anakuwa na adabu akisha fanikisha lake hajali tena. Ulitakiwa urudishe mrejesho kwamba mtoto amepatikana katika mazingira gani, je, ni mzima, na kisha kushukuru kwa adabu.
  11. Adverse Effect

    Emmanuel Nchimbi, kama kweli uko serious, njia pekee ni kujiuzulu tusikuweke kundi moja na wenzako

    Mkongwe Salary Slip huyo ni wale wale anang'ata usiku halafu mchana anapuliza. Drama zao za ki primitive mno.
  12. Adverse Effect

    Usimsikilize Mzanzibari Sama Ukitaka siku yako iishe Vizuri. Anabwatuka

    Je, kuichukia Zanzibar na wazanzibar ndio suluhisho? Jibu ni moja hapana si suluhisho na sote tufahamu na tukubaliane. Badala yake tujikite kukumbuka na kuithamini Tanganyika yetu. Jinsi tunavyoitaja na kuimarisha umoja na mshikamano ndivyo tunavyokaribia kufika safari yetu. Tanganyika sio...
  13. Adverse Effect

    Usimsikilize Mzanzibari Sama Ukitaka siku yako iishe Vizuri. Anabwatuka

    Kwanini tupozete focus kuifikiria Zanzibar? Nasisitiza tena na tena tuweke umuhimu na nguvu kwenye Tanganyika yetu tusitoke nje ya mstari.
  14. Adverse Effect

    Kwa UFUPI MAFWELE the Killer, hatoonekana tena as long as Mh Polepole, Mdude na wengineo walotekwa wataendelea kushikiliwa

    Its not a big deal, that's a fake dopamine! Samia awajibike kwa kutoa amri ya kufyatua na kuua watanganyika wenzetu. Tusitoke kwenye reli kwa cheap propaganda
Back
Top Bottom