Ulimwengu una pande mbili joto na baridi, kulia na kushoto, juu na chini, mwanga na giza, ndani na nje n.k.
Tuna utashi wa kuchagua kama nimechagua giza ni chaguo langu halikadhalika kama umechagua mwanga ni hiari yako.
kama ni hiari na chaguo lako upo sawa katika mtazamo na mwenendo wako...
Mbongo bana! Akiwa ana shida anakuwa na adabu akisha fanikisha lake hajali tena. Ulitakiwa urudishe mrejesho kwamba mtoto amepatikana katika mazingira gani, je, ni mzima, na kisha kushukuru kwa adabu.
Je, kuichukia Zanzibar na wazanzibar ndio suluhisho? Jibu ni moja hapana si suluhisho na sote tufahamu na tukubaliane.
Badala yake tujikite kukumbuka na kuithamini Tanganyika yetu. Jinsi tunavyoitaja na kuimarisha umoja na mshikamano ndivyo tunavyokaribia kufika safari yetu.
Tanganyika sio...
Its not a big deal, that's a fake dopamine! Samia awajibike kwa kutoa amri ya kufyatua na kuua watanganyika wenzetu.
Tusitoke kwenye reli kwa cheap propaganda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.