Inasikitisha sana ila ukweli mchungu zaidi ni kwamba Tanzania inaweza kuja kugeuka kuwa kama Congo na kurudisha amani iliyopotea hadi mambo kuja kuwa sawa itachukua miaka zaidi ya 25.
Gen Z wanakwenda kuishangaza na kuistaajabisha serikali iliyoua na kufanya uzalimu kwa namna ambayo haijawahi kutokea.
1. Shule ambazo wanafunzi wake wataingia na kufanya mitihani ya taifa kama inavyopaswa ni asilimia 29
2. Asilimia 30 ya wanafunzi wataingia kwenye vyumba vya mitihani...
Wazee wa kimila wanahitaji kutahiriwa ufahamu wao wakifa kabla ya kuzikwa vijinga vya moto vinawahusu mikunduni mwao ili wengine wajifunze kuacha unafiki, uzandiki, uchawa, fitina na uchonganishi.
Uchawa ni ugonjwa unaoambukiza wengi wasiojitambua.
Tokea shoo ya jana mlimani city mwana FA ataendelea kuitumia jina la mwana FA( mwana falchawa)
Rasmi Mwinyijuma amevuliwa heshima ya falsafa na kutunukiwa heshima ya Falchawa.
Alichokipata Falchawa Jana hatakaa akisahau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.