Mleta mada na wachangia mada mliomsapoti ni vema mkaacha ushabiki,kana kwamba mnaishi sayari ingine.Hivi kipi kikubwa na cha ajabu kumshambulia mtu ikiwa nukuu iliyowekwa hapa iko wazi,NANUKUU
Kamati teule ya bunge, katika uchunguzi wake wa kashfa hii, pamoja na kutaja wahusika wote na kutaka...