Wakazi wa kigamboni hawajawahi kusahau kauli ya Magufuli kwamba kama hawana nauli ya kivuko basi wapige mbizi. Lakini mmojawapo alipojaribu kupiga mbizi alikamatwa kwa kigezo cha kuchochea vurugu.
Swali la Magufuli anaegombea urais ni yule yule wa kuwapigisha mbizi wasio na uwezo au tumtazamie...
Akiongea bungeni juu ya tukio la kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni kumtaka katibu wa bunge amtumie tiketi mbunge wa viti maalum ili aende DUBAI alaponde nae raha, na kusitisha ziara aliyokwenda kiserikali nchini Uingereza, Mwigulu Mchemba alisema;
"Hivi mimi nina mkosi gani...
Mkuu! kuna tofauti kati ya unachopenda na reality, haijarishi unampendelea nani awe nani, unapoona ukweli ni lazima uuseme au uupe kipau mbele coz ni njia pekee ya kupanga strategy zako za kufanikisha unachopendelea.
Kwasasa nadhani sote tunakiri jamaa amejipanga, na ni like "a crying baby"...
Lengo kuu la chama chochote kile cha siasa ni kushika dola kwenye uchaguzi mkuu.
Kama hii pia ndiyo shabaha ya CCM, basi ni wazi MAMVI ndo turufu halisi ya ushindi kwao. Ukijaribu kufatilia trend yake kila anapopita wakati wa kutafuta wadhamini, nachelea kuwashangaa wanaosema anawapa fedha...
Thankx mkuu!
Ntafuatilia admission procedures zao nione if possible for this academic year 2015/16 kwani nimefungua website yao Saint Augustine University of Tanzania inaonesha udahili ulifanyika February 2015
Wadau naomba mnisaidie majina ya vyuo vinavyotoa diploma ya journalism hapa Tanzania coz kila niki-google nachemsha.
Mkinisaidia vilivyoko dar es salaam ntashukuru zaidi
So nawewe ni among great thinkers ka unashindwa ku-read between lines kwenye huo wimbo??????
Nyie ndo mnaoamini kuwa mta-think big just kwa kusoma kitabu cha "Think big"
Ningeandika Uporaji wa rasilimali za nchi utaikosesha CCM kura ndo ungeona ni thread, ila ya kutafsiri mwenyewe unamwita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.