Recent content by aduwilly

  1. A

    No Reforms No Election haizuiliki wala kushikika: Wananchi sasa wanasema wazi hawatopiga kura Oktoba 2025

    Kura zingekuwa zinapigwa kwenye mitandao ya kijamii Peter Obi angekuwa Rais wa Nigeria badala ya Tinubu. Chama ni wanachama, uchaguzi ni namba, wasio na vyama wanaposusa kupiga kura ni wazi chama chenye wanachama wengi kitashinda kwa kishindo. Strategy ya kutokupiga kura kwenye uchaguzi ambao...
  2. A

    GE2025 Kinachofanya Chama kiwe Chama Tawala au Chama Kikuu cha Upinzani ni Uchaguzi

    Kitu kilichofanya CCM leo iitwe chama tawala na CDM iitwe chama kikuu cha upinzani ni uchaguzi uliopita. Ikitokea chama chochote kati ya hivyo viwili hakitashiriki uchaguzi ujao basi ni wazi kuna chama kipya kitachukua status mojawapo hapo. Ni kujidanganya kuamini kuwa utaendelea kuwa chama...
  3. A

    Suala la ulaya kujua mipango ya kumuwekea Lissu sumu inaonesha kuna majasusi wao wa siri ndani ya mfumo

    Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Mtu akae gerezani zaidi ya siku 80 asiwekewe sumu, halafu mtu anasema anataka kuwekewa sumu na unaamini. Kweli ukipenda chongo huita kengeza
  4. A

    GE2025 Aida Kenani aaga wapiga kura Nkasi Kaskazini akisema, "sitasaliti mapambano"

    Hah hah hah, ndo anajua leo. Mbona walipomwambia asiende bungeni wakati ule ameshinda uchaguzi 2020 alikataa.
  5. A

    Theopista Theonest aibuka mahakamani kesi ya Lissu

    Hivi huyu ni yule vyama vya upinzani vilivyokubaliana kusimamisha mgombe mmoja kwenye uchaguzi wa 2015, yeye akagoma kutoa jina lake na kusababisha Mtatiro kukosa ubunge ILA still CDM wakampa ubunge wa viti maalum.
  6. A

    Tetesi: Lissu kuachiwa kesho

    Wakati ndo sharti alilopewa ili aachiwe na amekubali. Na akitoka tu anasepa zake Belgium kupumzika.
  7. A

    Wabunge wasipewe kiiunua mgongo mpaka uchaguzi uishe

    Wivu tu, in Gwajima voice
  8. A

    Mtu Mwenye fikra finyu pekee ndo anaweza kusema wakenya wanaharibu nchi yao

    Historia ni mwalimu asiekosea. Kenya wamefanya uchaguzi majuzi tu, kikashinda chama cha upinzani. Aidha, tangu wadanganywe na kuamini tatizo ni KANU, waitoa KANU madarakani na kuwaweka wapinzani kupitia MWAI KIBAKI. Tangu hapo wameendelea kubadilisha vyama kila uchaguzi na bado wanaona...
  9. A

    Watu 16 wameuawa, 400 wajeruhiwa katika maandamano ya tarehe 25 Juni yaliyofanyika kote nchini

    Hii ni sawa na ile ya askari aliemuua mtu ambae alikuwa anataka kujiua ili asitimize adhima yake ya kujiua
  10. A

    Barua ya wazi kwa Sheikh Ponda: Usigombee Ubunge

    Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao. Kama katiba inasema kila mtu anauhuru wa kushiriki uchaguzi why kuna waozunguka kushawishi watu wasishiriki uchaguzi!
  11. A

    PreGE2025 Bunge linavunjwa kesho, Watanzania tusirudie makosa tuliyofanya 2020

    "Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!" Kabla ya wakoloni tulikuwa na utawala wa kichifu, hakukuwa...
  12. A

    LGE2024 TAMKO LA MAIMAMU: Kuna kila dalili za kukosekana kwa Uadilifu ktk zoezi la uandikishaji kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Ni ujinga kuamini kuwa kwa kuwa wewe hujajiandikisha basi wengine pia hawajajiandikisha.
  13. A

    LGE2024 Takwimu za uandikishaji Uchaguzi Serikali za Mitaa kulinganisha na idadi ya watu. Baadhi walioandikishwa wazidi idadi ya watu

    Watanzania hatujulikani tunatakaje. Matokeo ya Sensa yalipotoka, tulisema yamepikwa kwani watu wengi hawajahesabiwa, sasa hivi tunalalamika tena kuna maeneo walioandikishwa ni wengi kuliko idadi ya wenye sifa. Simple mathematics pia zimetushinda, tukiona waliojiandikisha ni 112.1% maana yake ni...
  14. A

    Rais Samia anabagua, anachagua matukio na tabaka la kuwapa pole

    Kumbe wewe ndo Hilda Newton. Nimeona umelalamika the same kule mtandao wa X (zamani Twitter) Soon nitawajua members wote wanaotumia fake IDs.
  15. A

    Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

    Mzazi yuko sahihi, mwenyekiti wao alisema peupe, walivyoona kimenuka yeye alienda ishi Dubai, mwingine akaenda Canada na mwingine akaenda Belgium. Sasa wewe unga unga na kapuku kama Mimi misingi ya nchi ikiharibika utaenda wapi? Rais wa awamu fulani alishawahi kusema, akili za kuambiwa...
Back
Top Bottom