Kampuni ya HUAWEI imetangaza rasmi kuanza kutumia OS yao ya HarmonyOS 2.0 kwenye simu zao ifikapo 2021, hapo awali mfumo huo wa kuendesha simu ulitambulishwa kwenye vifaa vengine kama Saa, Tv na gadget nyengine mbali mbali isipokuwa simu. Uamuzi huo umekuja baada ya mzozo wa muda mrefu wa...
America come with idea
WHILE
China come with best product
1. Marekani kagundua gari la umeme mwaka 2018 kauza magari laki4.5 wakati mchina kauza magari ya umeme more than 1Milion mpaka Telsa kaona akafungue kiwanda china
2. Drone: marekani kagundua drone mchina anaongoza kuuza na kuwa na drone...
Ulaya yenyewe kama ingekuwa huru biashara zote ingefanya na mchina kwenye swala la quality kucompare na price
Sasa sisi africa ndo hatuwezi kabisa ukipanda bus zuri ni mchina, ukivaa nguo mpya kariakoo ni mchina ( wale ndugu zangu wa gucci, LV,suppreme) ukisema upande mwendokasi mchina, ukisema...
sasa hivyo ni viti viwili tofauti kama unauelewa mdogo tuu utagundua kuwa facebook anajitoa kwenye lawama kiaina flani ili mbaya aonekane ni google
So Atakaekwamisha uwepo wa facebook kwenye huawei sio facebook mwenyewe bali ni google
Dunia ya leo ukipuuza technology ya Mchina huwezi kuwa na...
usipaniki
labda nikusaidie tuu, Facebook hawaja acha kufanya kaz na Huawei ila wamesema kwa simu zote ambazo zinazoundwa hazitakuwa na "built in App" za Facebook, WhatsApp, Insta, na fbMessenger. Hivyo bas mtumiaji wa Huawei atapaswa kwenda kudownload Playstore
"Built in apps" ni zile apps...
issue sio cheap labour tuu bali ni cheap labour wenye akili, india ana cheap labour wengi ila tatizo linakuja kwenye shule hususani kwa wasichana
ila anyway ngoja nisubiri iPhone inayotengenezwa Burundi, MacBook inayotengenezwa Mafinga na apple Tv kutoka Manzese
Dakika ni ya 25 goli ni (7-0) Ufipa FC hawaamini kinachowatokea
kwa takwimu mpaka sasa possession ni 95% kwa upande wa lumumba na 5% kwa upande wa Ufipa
Kadi nyekundu [emoji837][emoji837] ni mbili zikienda kwa Mbowe na Matiko
Huku kiungo wao machachari kabisa (Lisu) akiwa majeruhi hoi bin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.