Nakumbuka tulikuwa tuna weka zamu kuamka kuangalia kitovu, mama alipoondoka alisema unalala sana akafunga na kamba ili kitovu kikidondika kiende upande, ni ngumu ila ndo mila tulizozikuta
Me n mwanamke jina kuna mtu aliniandikisha hapa sa jina langu likawa linakataa, back to the topic '' Nakuonea huruma ila hamna namna kuna mtu nampenda niache niende ........!!! Nilihisi sina miguu sababu nilishindwa kutembea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.