Recent content by Ados

  1. A

    Mbweni Mbweni kiwnja kizuri

    kiwanja kizuri kinauzwa chenye ukubwa wa sqm 1200 kiko eneo zuri tambalale kinauzwa sh 65M kwa mawasiliano piga 0657375494
  2. A

    Napingana na serikali kwa kufuta vibali vya wageni wanaoishi Kagera, Geita na Kigoma

    wewe tuna wasi wasi maana katika ongea yako tu huna herufi "H"
  3. A

    Mbweni, Mbweni kiwanja kizuri

    kiwanja kizuri kinauzwa kipo Mbweni kina Hati ukubwa sq m 1200 kinafaa kwa makazi kipo sehemu nzuri Bei sh 65M kwa mawasiliano 0657375494
  4. A

    CCM hatuna muda wa porojo. Kazi yetu ni kutekeleza ilani kuelekea 2015 sio midahalo

    Kutoza wananchi tozo la laini za simu na kuongeza tozo la kutuma na kupokea fedha kupitia mitandao ya simu hayo ndio Maendeleo kwa Wananchi hii ni kutuumiza tu sisi wananchi, ninyi ni watu musio na hurumu mmejificha katika kinyago (maski) cha "kuwaletea maendeleo wananchi" ndio maana leo kila...
  5. A

    Kiwanja,kiwanja

    kiwanja chenye ukubwa wa sq mt 1200 kipo Mbweni kimepimwa kina hati kinauzwa Sh 65m maongezi yapo kwa Mawasiliano No 0758331514
  6. A

    Magufuli anga'ra urais 2015

    kumsifia mtu sio kwamba unamtaka awe Rais
  7. A

    HEMED KIVUYO wa ITV

    mnataka aripoti kwa jinsi yenu Kila mtu ameumbwa kwa namna yake jamani msimulaumu ,je nyie mlipata kumsikia "Ben Kiko" anavyo ripoti
  8. A

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    wewe juma Iddi kumbuka ulipokuwa pale Mpwapwa Sec na kina Andrew Ng'hwani Rafiki yako ndugu yetu mbona unajisahau jamii ndio kioo chako usichukie inapokuonyesha tongotongo huna budi kuziondoa usikasilike mwangalie mwana mpwapwa mwenzako Ngeleja mbona amekubali matokea na katulia kimya
  9. A

    naombeni ushauri wa haraka

    wewe unajini mahaba halitaki uwe na mpenzi tafuta kanisa la kiroho ukaombewe
  10. A

    Nissan X-trail

    ndugu kama gari hiyo ninakuonya mapema kabla huja bambikwa usije juta baadaye nunua gari yeyote ya Toyota kuliko hiyo Nissan
  11. A

    Tabora: Maandalizi yakolea kupokea M4C kuanzia Ijumaa hii

    karibuni ndugu zetu hapa nyumbani kwetu TBR Tunawasubiri kwa hamu jamani Blanketi la Kijani limetuchosha tumalala usingizi sana sisi wa Mwanza Road,kaloleni,Station,kitete,uhadhili,isevya karibuni CDM
  12. A

    Muuaji wa Padri Evarist Mushi Akamatwa kwa msaada wa picha iliyochorwa na FBI

    mimi siamini kama amekamatwa ,maana Mpaka Pengo aseme ,hata Kwa Ulimboka walisema wamemkamata lakini imeishia wapi mambo yamekuwa kimya
  13. A

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    Angekuwa hana Elimu wewe usinge soma yeye anaona mbali kuliko hata wewe , unaifikili kuaoma ni darasani tu, kwa hiyo acha ujinga kabisa. na uache ramaa utakufa ukimtosa jamaa lazima akumalize acha kabisa huyo ni wakoc
  14. A

    Ushauri wa bure kwa Shonza!

    Namuomba akawaulize watu hawa Ndg Masumbuko Lamwai na Ngawaiya na wangine wengi ,leo hii wewe ni kama muwa midomoni mwa CCM utakapo isha utamu utatemwa na kuwa makapi nakutupwa jalalani kazi kwako Binti
Back
Top Bottom