naombeni ushauri wa haraka

naombeni ushauri wa haraka

maimartha jifunze kuridhika....yaani kukubali kuwa kuna baadhi ya vitu huwezi kuvipata wala kwa wakati uliopo

Huoni kama she is struggling, na kuleta humu maana yake amejaribu vingi.?

Unamshaurije kleptomaniac? Ambaye mimi namwita ana pepo la udokozi.
 
Last edited by a moderator:
Ushauri gani unaotaka upewe?, wewe kicheche tu huna maana hata kidogo. Pia kumbuka ukija kustuka tayari hilo limbunye lako litakua utamu wote kwisha na litabakia kwa ajili ya kukojolea tuu.

Aiseeeeeeeeeeeeee!
 
naombeni msaada wanajamvi.
mimi nimsichana naombeni ushauri mwenzenu nikiwa katika mahusiano haichukui mda namchukia bf nitakae kuwa nae tena kila mda natamani kumuacha na nitafanya mbinu zote ili kuhakikisha tunaachana baada ya kuachana nakaa mda najutia maamuz hali hyo imenitokea miaka mingi sasa. nimejikuta nikipoteza wachumba wengi.naombeni ushauri wandugu
Tatizo akili yako tayari umeiweka hivyo na kama unataka isiwe hivyo inawezekana amua sasa kusema huyu ndiyo BF wng wa mwanzo na wa mwisho mpaka ndoa itawezekana kabisa.
 
Subiri ufikishe miaka 30+ utaisoma namba kama nguo za valentine tarehe 15 april
 
miaka mingi mingapi? Maana watoto wa siku hizi unakuta ana miaka 17 halafu anakuhadithia hadithi za mahusiano yake ya "zamani"...
 
Habu funguka vizur labda ukianzisha uhusiano huwa vitu gani unaviangalia kwa mwenzi wako!?
 
++
Napenda kukusaidia sana ila nina maswali 7 ya kukuuliza.
Kama tatizo ni serious ni PM,,Ntakusaidia ila kama utani haina haja
++
 
Ushauri gani unaotaka upewe?, wewe kicheche tu huna maana hata kidogo. Pia kumbuka ukija kustuka tayari hilo limbunye lako litakua utamu wote kwisha na litabakia kwa ajili ya kukojolea tuu.

mbona una maneno makali hivi Borro kwa mwendo huu mhhhhh
 
Last edited by a moderator:
wewe unajini mahaba halitaki uwe na mpenzi tafuta kanisa la kiroho ukaombewe
 
Back
Top Bottom