Napenda sana IT, lakini vijana wanaichafua. Alafu wao ukikuta wanapiga story hadi wanatambiana uwezo wa hacking, sasa sijui hawaelewi kama ni kosa linalopelekea kifungo cha maisha
Nilimchongea mzee mmoja alikuwa akiuza bangi, sasa kaka yangu alikuwa mteja wake alimharibu kaka yangu. Nikaita police wamkamate lakini wao waliuza bangi wakagawana fedha ya mauzo. Polisi wengine sio watiifu wa kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.