Hongereni sana lakini hujasema vijana wameungana kwa
- kundi lipi
- wanajishughulisha na nn
- mnatumia jina gani kama kikundi
- je mtu wa 51 na kuendelea akitaka
kujiunga anaanzia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama unafikiria waliomjeruhi lisu cc tunafikiria tanzania inapaaje kiuchumi? Na wananchi wanasaidiwaje kupunguza makali ya maisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.