nambo unijuze:
nikipata hiyo " leave to amend an application", je ushahidi wangu ambao nilikuwa nimeshakamilisha kuutoa, je naweza kuomba ukaendelea ule ule?
Asante
ASANTE.
1. Kuhusu hiyo Order, tayari mahakama imeshanipa.
2.Tatizo ambalo linanisumbua bado ni juu ya either kutuma kwanza barua kwa waziri wa sheria au la. Nasema hivyo kwa sababu siku hii ya leo nimekwenda kutafuta ushauri kwa wanasheria wawili.
Wa kwanza; ameniambia kwa sababu nilibomolewa...
Asante.
Kesi yangu ni kuwa, nilibomolewa kiwanda changu na vitu vyangu vyote vilikuwa ndani wakati wa ubomozi huo. Waliobomoa wanadai nimejenga eneo ambalo sio langu.
Nimekamilisha kutoa ushahidi wangu wote pamoja na mashahidi wangu ( ikiwamo walioniuzia hapo). Judge aliwaamuru upande wa pili...
Habari za muda huu. Naomba msaada juu ya shauri hili langu.
ORDER YA MAHAKAMA.
Ndugu naomba mnisaidie.
Kesi hii nilifungua mwaka 2005 na order hii ya mahakama imetolewa mwaka huu 2015. Je kesi hii naweza kuirudisha mahakamani ikaendelea? Na kwa namna gani nitairudisha kulingana na law of...
Ki ukweli CR 7 mwaka huu akubali kushindwa. Mesi kafanya makubwa mno mwaka huu ila vipi kwa invisible Pirlo. Wanaodhani Pirlo mwaka huu apewe hii tuzo tuungane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.