Wazalendo imekuja baada ya kubadiri kutoka ACT Tz katika katiba. Hivyo hakuna ACT Tz.
Wanajamvi nisaidieni, hivi ACT-Tanzania na ACT-Wazalendo ni chama kimoja? Naona kama kuna chama kimejisajili kinyemela hivi!
Au bado linatafuta jina muafaka? Kwa msajili kuna chama gani?
Nami naomba kueleweshwa kama kuna tofauti kati ya (CUF) na (CUF-CHAMA CHA WANANCHI).
Tatizo ACT inawawewesesha hadi mnajitoa ufahamu matokeo yake mnaleta upuuzi jf.