Recent content by Addons

  1. A

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Ukipata wawili, nipatie mmoja aisee!! ila mim asizid 27 age
  2. A

    Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

    Unaweza kuongezea ni kwa namna gani nguvu ya maneno imekukosesha haki yako, au imekuchafulia image yako
  3. A

    Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

    Nimegundua nguvu iliyopo kwenye kuzungumza na Kushindana kwa Maneno!! Kwa muda mrefu ninekuwa nikiliwaza sana hili suala, Kwanini mtu huwezi kufanikiwa au kupata jambo fulan mpaka uwe mzungumzaji. Ukiwa mkimya kuna possibility ya mtu kusahaulika lakini ukiwa unabwabwaja kila mtu...
  4. A

    Hivi ni kwa namna gani naweza kuwa monetized na youtube

    Wajuzi, watakupa mawazo, lakin nazan kwa YouTube, utahitaj ku create chanel kwanza, halafu itahitaji upost clip hizo youtube, na ufikishe masaa 4k, na subscribe 1k, ndo unapoaanz kulipwa!! "Unaweza kuingia YouTube, ukiandika hio title kuna namna utaelekezw zaid!! Maana mi mwenyew nilisikia juu...
  5. A

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Ni mtoto anachezea simu yko Sir SingAno au
  6. A

    Je hii ndio top 10 bora katika historia ya muziki wa bongo flava

    1. Baby madaha, Amore 2. Nimechagua wewe, bob rudala 3. Pasha Hidaya 4. Mtazamo afande 5. Latifa MB doggy 6. Mbagara Diamond 7. Pesa mr. Blue 8. Nakupenda beibe(chegge) 9. Mzee wa Busara (nature) 10. Mbona unaniruka (feruuz)
  7. A

    ONYO LA USALAMA WA TAIFA: Bei ya Chakula ni Bomu Linalosubiri Kulipuka Tanzania

    U Uko vzur sana!! Lakini nani atakusikiliza sasa? Kila mtu anatafuta upenyo wa kula ili ale vzur ashibe!! Sasahiv tunaishi kwa Law of the jungle!! Pia ni transition stage tuu, kwenda somewhere
  8. A

    Rais Museveni ameona nilichoona, katika hili niko pamoja nae

    Nilikuwa nakuamini sana, Lakin kwasasa nyuz zako zote sitazikubali tena!! Kumbe nawew umoo
  9. A

    GE2025 Mange Kimambi anaweza kuwa ni "Double agent" anayewasaidia anaowasema 'vibaya' kila siku

    Kwahio, wew unataka nin hapo, mbona kama wew ndo hueleweki!! Sijui hata ishu ya double Agent unaifaham, au ni movie za kispy zimeku inspire Source: trust me bro
  10. A

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Si sahihi kupunguza maneno, au kutokusema ukweli kwamba, baadhi ya mistar katika haikuandikwa na muhusika!! As long as limeandikwa hakukuwa na haja ya kuficha, labda ni mtoto wa isaya au ni ndugu wa mtume flani, au nimtume flan nae aliongezea maneno yake: all in all tujifunze vilivyokweny bible...
Back
Top Bottom