Recent content by Addons

  1. A

    Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Una uhakika hataki kazi, Je? Umewahi kwenda kumpa deal la kazi akakataa? Mzee mtaan sometime hapaeleweki, Mtu hakupi kazi hata ukienda kumuomba, na ukibaki kitaa bado una simangwa!! Mzee nenda kampe kazi, akatae halafu uje utupe mrejesho, sio kukomplain wakati hujui mtu anapitia stress...
  2. A

    Simulizi ya Kifaransa: Ubora "THE HIGHEST GOOD"

    Saw ngoja nii angalie
  3. A

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Yaani, unakuta anasema kabisa ye hapend ela, na hawez omba mwanaume ela! Lakn within a day, ushachapika za uso
  4. A

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Ntakupa ndug yangu!! Ngoja nitafute kwa tochi hap
  5. A

    Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

    Hilo linajulikana, lakn sasahv ni kama ulimwengu unataka watu wanaoongea ongea sana
  6. A

    Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

    Baadh ya watu tuna asili ya kukaa kimyaa
  7. A

    Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

    Yes!! Tena ukipata bahati kama, kuna mtu kakuonea huruma ndo atasema!! "Jaman kuna mtu mnamsahau uku
  8. A

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Ukipata wawili, nipatie mmoja aisee!! ila mim asizid 27 age
  9. A

    Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

    Unaweza kuongezea ni kwa namna gani nguvu ya maneno imekukosesha haki yako, au imekuchafulia image yako
  10. A

    Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

    Nimegundua nguvu iliyopo kwenye kuzungumza na Kushindana kwa Maneno!! Kwa muda mrefu ninekuwa nikiliwaza sana hili suala, Kwanini mtu huwezi kufanikiwa au kupata jambo fulan mpaka uwe mzungumzaji. Ukiwa mkimya kuna possibility ya mtu kusahaulika lakini ukiwa unabwabwaja kila mtu...
Back
Top Bottom