Recent content by Addons

  1. A

    Yanga yamfuta kazi Kocha Mkuu Pedro Gonçalves

    Bado tupo primitive stage of economy!! Bei haipangwi kwa maneno, D & S ndo inaamua
  2. A

    Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Niliachaga kuangalia mpira!! ila nikasema ngoja nimuone huyo Lamine wanae msema huenda kuna cha ziada!!.. Kiukweli sikuona maajabu yoyote, zaid ya kuona mtu anajitutumua tuu... Uchezajj wake Ni basics + mazoez Skills ni kidog sana, halafu zile basics tuu
  3. A

    Yanga yamfuta kazi Kocha Mkuu Pedro Gonçalves

    😅😅 Kwani Jukwaa la siasa si lipo!! Nenda tu ukajadili namna ya kumaliza viTa iran
  4. A

    Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Una uhakika hataki kazi, Je? Umewahi kwenda kumpa deal la kazi akakataa? Mzee mtaan sometime hapaeleweki, Mtu hakupi kazi hata ukienda kumuomba, na ukibaki kitaa bado una simangwa!! Mzee nenda kampe kazi, akatae halafu uje utupe mrejesho, sio kukomplain wakati hujui mtu anapitia stress...
  5. A

    Simulizi ya Kifaransa: Ubora "THE HIGHEST GOOD"

    Saw ngoja nii angalie
  6. A

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Yaani, unakuta anasema kabisa ye hapend ela, na hawez omba mwanaume ela! Lakn within a day, ushachapika za uso
  7. A

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Ntakupa ndug yangu!! Ngoja nitafute kwa tochi hap
Back
Top Bottom