Una uhakika hataki kazi,
Je? Umewahi kwenda kumpa deal la kazi akakataa?
Mzee mtaan sometime hapaeleweki,
Mtu hakupi kazi hata ukienda kumuomba, na ukibaki kitaa bado una simangwa!!
Mzee nenda kampe kazi, akatae halafu uje utupe mrejesho, sio kukomplain wakati hujui mtu anapitia stress...
Nimegundua nguvu iliyopo kwenye kuzungumza na Kushindana kwa Maneno!!
Kwa muda mrefu ninekuwa nikiliwaza sana hili suala, Kwanini mtu huwezi kufanikiwa au kupata jambo fulan mpaka uwe mzungumzaji.
Ukiwa mkimya kuna possibility ya mtu kusahaulika lakini ukiwa unabwabwaja kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.