Recent content by Addela

  1. A

    Busara kidogo inahitajika katika hili

    UR VERY LUCKY!! Hongera kwa kupata malezi ya baba japo sio baba mzazi. Mimi hapa nimeanza kuishi na baba mzazi nikiwa form one kiukweli paka leo I don’t feel km nina baba yaani ni 0 bond btn Us, sometime tunakaa hata mwaka mzima bila kuonana wala simu mi nahisi labda anasubiri akizeeka hajiwezi...
  2. A

    Mtoto hapendi kula, nipeni suluhisho

    Mwanangu alikuwa hivyo hivyo yani kila ninachoambiwa nampa lakini hamna kitu na mwili wake kimbaombao, now yuko 3.9yrs angalau anakula mimi napambana sana na kilo zake na kila siku namtengenezea juice ya embe, parachichi na passion hiyo anaipenda, Pole sana nimepitia huko, jitahidi saana na...
  3. A

    Mlipuko wa homa kali ya watoto, kwanini Wizara ya Afya imekuwa bubu?

    Sisi huku kimara ni kikohozi, mapele km majipu na wengine tetekuwanga, kwa kweli hapana aisee kuna kitu hakiko sawa
  4. A

    Wazazi wakataa sadaka ya kuchinja iliyotolewa na Waarabu, wakidai watoto wao watatolewa kafara

    Hao watu walikuja pia shule ya msingi Kimandolu jirani na hiyo ya baraa, walimu wakaita wazazi wakawaambia wazazi waende shule kipikwe chakula na hizo nyama wale woote pamoja na wanafunzi hapo hapo shule. Wazazi wa kimandolu kwanza wakashangaa why ngombe na km sadaka wangewapa hata daftari na...
  5. A

    Inasikitisha, Vijana wanaobeba makapu ya Rangi kupaka wadada

    Panaitwa kwa Athanasi, buku mbili unabandika kucha na kupaka rangi ndo maana watu wanajaa sana wanahudumiwa kwa foleni. Huyo Athanasi ni muha na vijana wake wote anawatoa kigoma afu anawafundisha kazi.
  6. A

    Yajue madhara ya kukanda wazazi kwa maji ya moto

    Nina two kids wote nimejufungua kawaida, mimi ni mchaga sijawahi kandwa sijawahi pata tatizo lolote, hayo mambo ya maji ya moto ni imani tu na kutesana.
  7. A

    Wakazi wa Dar es Salaam wahaha shida ya maji na umeme

    Kimara baruti maji yapo 24hrs
  8. A

    Kuna daladala zinaonekanaga kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 alfajir

    Mi naishi kimandolu Arusha, daladala mwisho saa 5 na hapo za kubahatisha, sasa sijui hizi unazosema zinaenda wapi, kiufupi kusafiri usiku Arusha labda pikipik au private.
  9. A

    Dhana ya mke hapigwi haifanyi kazi ndani ya ndoa, semeni ukweli

    Naishi na baba wa mtt wangu (simwiti mume mana hatujafunga ndoa), alishanifanyia visa viingi but mwanzoni mwa mwezi wa 10 mwaka jana alinipiga ngumi mchana saa 8 nikakaa two weeks na vidonda mdomoni badae akaniletea dawa nikanywa nikapona. Kiukweli since ile siku siko sawa, nimemsamehe kinafki...
Back
Top Bottom