Yajue madhara ya kukanda wazazi kwa maji ya moto

Mungu mwema wakati sahihi ni wakati wa ktk maisha hakuna kuwahi wala kuchelewa huo ndo mda wenu ulikua wa kupata mtoto kaka

Muambia akilazimisha kazi ataumwa mgongo akae apumzike mda mrefu walau hata zile 40days consecutively!
Jana ilikuwa siku ya 44 niliwapeleka hospital kwa chanjo ya kwanza ya mtoto. Tunabembeleza tu mtoto analia siku nzima na kulalama

Na mimi nilifikiri kama Mungu hajapanga jambo, hata ufanye nini ni sawa na bure. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu, na sasa hivi nimetua mambo mengi mno. Nimepata zawadi hii mda sahihi. .
 
Dah sasa mbona nakua confused, nasubiri comments zaidi reymage na Lily Tony etc nimewapata vizuri👍 ambao bado hatujafikia huko je ni kweli kwamba kukanda unaondoa na kitambi? Uke unarudi kama ulivokua na elasticity yake, Je hayo maji yanakua yale makali kabisa yaliyochemka?
Hahaha wanawake wenye vitambi sugu wataenda kujikanda na maji ya moto viishe. Nafikiri wanasema maji ya moto yanaondoa uchafu tumboni mapema na joto hupasua mwili humfanya mwanamke apungue kidogo

Yale yanayochemka hasa. Ila sikushauri, kwa kweli umenifurahisha sana
 
Hahaha wanawake wenye vitambi sugu wataenda kujikanda na maji ya moto viishe. Nafikiri wanasema maji ya moto yanaondoa uchafu tumboni mapema na joto hupasua mwili humfanya mwanamke apungue kidogo

Yale yanayochemka hasa. Ila sikushauri, kwa kweli umenifurahisha sana
Yaliyochemka kabisa?? Si kuuana huko na huu uoga sijui😂😂 afu ni lazima akukande mtu either mama au mamkwe, sisiter ? Why huwezi mwenyewe maji ya moto anikande mwingine nahisi kukimbia🤭
 
Issue yangu ni kitambi😂 kinaisha ukikanda ama
Kitambi kitabaki vile vile we fanya uone
Tangia lini maji ya moto yakapunguza kitambi
Obesity huko states ni tatizo kubwa wangeambiwa wajikande na maji ya moto kupunguza kitambi

Fanya mazoezi, fanya diet, kula balanced food, pata stress za mapenzi mda mwingine ukiwa na furaha sana kitambi kinakutembelea, badilisha tabia ya ulaji mana unashauriwa at least ulale two hours after eating, usiepnde kuridhika sana maisha yenyewe haya hakuna haki na pia uwe na kiroho mbaya kidogo mda mwingine inasaidia mfano kama unaishi nyumba ya kupanga gombana na mpangaji mwenzako akikuwekea taarabu tu mbona kitambi kitapungua, au kama una nyumba yako tafuta jirani mmoja mkorofi fanya bifu akurushe roho juu................
 
Dah sasa mbona nakua confused, nasubiri comments zaidi reymage na Lily Tony etc nimewapata vizuri👍 ambao bado hatujafikia huko je ni kweli kwamba kukanda unaondoa na kitambi? Uke unarudi kama ulivokua na elasticity yake, Je hayo maji yanakua yale makali kabisa yaliyochemka?
tumbo linakuwa flat mum(njoo Pm nikuonyeshe kapicha kangu)😂.
Lakini pia,sio kwamba yanakua maji makali kama wengine wanavyo tafsiri,hapana.
 
Dah sasa mbona nakua confused, nasubiri comments zaidi reymage na Lily Tony etc nimewapata vizuri ambao bado hatujafikia huko je ni kweli kwamba kukanda unaondoa na kitambi? Uke unarudi kama ulivokua na elasticity yake, Je hayo maji yanakua yale makali kabisa yaliyochemka?
Siku hizo hawakandi na maji moto kwa huku mjini wanachoma sindano ila kwa sisi tunaozaa na kuangaliwa uzazi na wakoloniniliwaambia jamani dokta kasema msinitia maji moto weee...nilichambwa Mimi ,nikala za USO na mimaji kama kawaa...!!!
Mi kwa mtazamo wangu wanaotaka sindano wachomwe na wa maji wachomwe maji...mimaji ya moto haswaa kama ya kunyolea kuku@finacial service

Dogo Mungu fundi sanaa ukizaa kwa njia ya kawaida baada ya mda K inarudi kama ilivyo Fanya tu Kgel mazoezi ili irudi haraka...!!!!kiukweli naomba tu wanangu watatu wajao nizae salama sitamani kisu Mimi!!
 
Jana ilikuwa siku ya 44 niliwapeleka hospital kwa chanjo ya kwanza ya mtoto. Tunabembeleza tu mtoto analia siku nzima na kulalama

Na mimi nilifikiri kama Mungu hajapanga jambo, hata ufanye nini ni sawa na bure. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu, na sasa hivi nimetua mambo mengi mno. Nimepata zawadi hii mda sahihi. .
Daaah!wajua mpk siku. Mungu akuze katoto ketu kwa kweli!
 
Back
Top Bottom