Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 7,801
- 20,759
Jana ilikuwa siku ya 44 niliwapeleka hospital kwa chanjo ya kwanza ya mtoto. Tunabembeleza tu mtoto analia siku nzima na kulalamaMungu mwema wakati sahihi ni wakati wa ktk maisha hakuna kuwahi wala kuchelewa huo ndo mda wenu ulikua wa kupata mtoto kaka
Muambia akilazimisha kazi ataumwa mgongo akae apumzike mda mrefu walau hata zile 40days consecutively!
Na mimi nilifikiri kama Mungu hajapanga jambo, hata ufanye nini ni sawa na bure. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu, na sasa hivi nimetua mambo mengi mno. Nimepata zawadi hii mda sahihi. .