Jiaribu kutafta mtu mwnye pc ka yako kisha angalia kama betri yake itafanya kazi kwako. Ikifanya ujue betri yako ndio kuch nehi..ikigoma basi tatizo litakuwa kwnye port au circuit ya kupeleka umeme kwny battery
haha..mwenyewe nimejikuta simpendi baada ya kusoma comments. jst saying. Uliniimpress kwnye video tu, lkn kama nna kazi sidhani kama you'll be an option.
yote ni mipango tu. ukiambiwa hawa watu tulikuwa nao sawa kiuchumi unaweza bisha. Ila hali ndio hio. hivi sasa wana mpango wa kufkisha idadi ya watalii zaidi ya milioni sita kwa wiki ili kuzalisha na kukuza uchumi wao. Tuna mengi ya kujifunza.
Chanzo: mhandisimaridadi
Tanzanite ni madini yenye mchanganyiko wa rangi ya bluu na zambarau. Madini haya ni ya kipekee kwa Tanzania kwani hayana chanzo chochote duniani isispokuwa kile cha Mererani mjini Arusha, Tanzania.
Madini haya yaligundulika mwaka 1967 lakini yakajipatia jina hilo mwaka 1969 kutoka kwa Henry...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.