Nafikiri unahitaji kupata muda wa kutafakari ndoa yako. Ninachoona hapa umependa nje, ukapewa mahaba tofauti na ya mumeo. Vinginevyo unapaswa kutulia, labda akiwa analala nje kwa hawala ndo useme, lakini kama ni kuchepuka, wengi wanafanya dada tena kwa nia njema, "sitaki mke wangu azeeke,, maana...