Recent content by Acley4d

  1. A

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Dah voda wanakera niliunga kifurushi cha wiki 5000 mb 300 lakin siku tatu hazijaisha no downloading now video watchng kwenye mtandao lakin wananiambia mb zako zimeisha dah
  2. A

    Hii ndio smartphone ya uhakika bwana

    Mbona hizo icon cjazielewa...
  3. A

    Kati ya Laptop na Ipad kifaa gani ni muhimu zaidi kwenye matumizi ya kawaida ?

    Mpaka unakuja kuomba ushauri humu ununue kipi kati ya laptop au laptop nina wasiwasi na wew kwamba hujatambia unataka ufanye kaz gan na hivyo vifaa ndio maana unapata wakat mgumu ununue nini..tahadhar usinunue kitu kwa sababu umemuona mwenzako anacho..
  4. A

    Baunsa (Body Builder) wa Calabash Anaongoza kwa Kuomba Kinywaji

    Ushasen n nchi za wezetu hupaswi kuendelea kuongea maana kule kwao had hous girl Na boy wanamikatab saf na Pia wanaenda shule kwa ajil ya kaz hizo sas huku bongo wanasomea wap
  5. A

    Kubadilishana simu nakupa samsung galaxy s3

    Unabadilisha hat kwa nokia tochi??weka cmu unayotaka ubadilishane nayo
  6. A

    Habari njema

    Je hiyo ndo suluhiaho la michepuko??je haitakuw chanz cha wanawake kubadilish njia na kutoa tigo???
  7. A

    Maandamano Arusha 20/9/2014 Kutumika njia 6 tofauti

    Natamani sana ningekuwepo Arusha nishuhudie ila najarib kuangalia kwa upande wa Dar itakuwaje
Back
Top Bottom