Habar wana JF.! Kna msichana ambaye tunapendana sana na tushahaidiana kuoana.. kipindi nko nae tulikua tunapendana sana lakin badae yy alienda mwanza kwa wazaz wake sasa yapata miez tisa, mawasiliano yalienda vzr lkn badae akaanza kubadilika.. nikajua moja kwa moja ashapata mtu mwngne lkn kila...
Hi JF, kumekuwa na uzushi mwingi kuhusu admissions za wanafunz wa mwaka wa kwanza vyuoni, wengine wanasema mwez wa kumi wengine mwezi wa pili wengine January.. sasa which is witch??? Serikali yenyewe haitak kutoa tamko rasmi. ts better waseme ili tujiandae.
Naomba anayejua ukweli kuhusu hili...
Hi JF, nimekuwa nikivuta sigara kwa miaka miwili, sasa nataka kuacha lakini nashindwa nikijitahidi nakaa hata siku tatu afu naendelea. Nimejaribu tangu January mwaka huu lakin nimeshindwa. Muda mwingine nahisi mapafu yangu yanauma na tatizo itzkuwa ni sigara. Naombeni ushauri wenu au kama kuna...
Baada ya kufanya utafiti wangu nimegundua kuwa hapa Bongo huitaji mpaka kuwa na gari ili kuwapata baadhi ya wasichana, wengine hata ukiwa na funguo tu umeng'oa mtoto..!
Kwanza jina tu unajiita pesa ndogo afu eti utakuwa mke mwema.. Huna jipya kama mtaani kwenu hakuna wanaume imekula kwako na aliyekwambia mme anapatikana jf kakudanganya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.