Recent content by Achimwene2014

  1. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Aweso aitaka RUWASA ifikishe maji vijiji vyote

    Kila kitu kinalipiwa hakuna deni. NB: Mabomba yapo chini ya serikali na pesa/makusanyo yanachukuliwa na serikal.
  2. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Aweso aitaka RUWASA ifikishe maji vijiji vyote

    Kijijini kwetu kuna mabomba ya maji lakini tunakaa miezi mitatu mpaka minne bila maji ila siku yakitoka yatatoka siku 2 mpaka 3. Kwa kifupi bado tunatumia maji ya kisima. Je, wewe mhabarishaji unakiweka kijiji chetu kwenye kundi gani??
  3. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    NB *Ukishiba huwezi kujua kuna watu wana njaa. *UCHAWA unaliangamiza Taifa popote duniani.
  4. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    Usipotoshe jamii, kama huna taarifa rasmi tulia. Jiulize 1. Wakati Magufuli anazuia chomachoma wa korosho wasilipwe na kuruhusu wanajeshi wasimamie korosho mlipaji mkuu wa mauzo ya korosho alikuwa nani kama sio TMX?? 2. Malipo ya ufuta yalikuwa yanafanywa na nani?? 3. Kwanini wakati wa...
  5. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    TAKATAKA
  6. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania KERO Usajili wa Private Candidates na Reference Number Bado – Tuko Hatarini Kutozwa Penalty

    Upo wapi na unatarajia kufanya mtihani wa aina gani??
  7. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    TMX hawahawa ambao hawajanilipa pesa zangu za ufuta msimu wa 2020/2021 mpaka leo na MAMCU Ltd wanajua???
  8. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania GE2025 Itakuwa ni aibu, fedheha na chukizo mbele za Mwenyezi Mungu kwa Mtanzania yeyote ambaye hatampigia Kura ya Ndio Rais Samia

    Tunasubiri ajira mwaka wa 10 sasa hatujui hatima yetu. Hao wengine wanashindwa nini kujiajiri??
  9. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Nimejitahidi sana nitafute kitu cha kusifia kwenye huu utawala sijakiona kama kuna ameona nisaidie labda tafsiri yangu Ina shida

    Sio kweli. Wanufaika ni wachache sana ila wasioajiriwa ni kundi kubwa.
  10. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Kwa maslahi mapana ya Taifa CCM imakinike sana na vijana

    Ukosefu wa ajira unatufikisha hapa tulipo.
  11. Achimwene2014

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt Samia, watanzania tunajivunia wewe kuwa Rais Wetu

    No Reforms No Election
Back
Top Bottom