Recent content by Achimwene2014

  1. Achimwene2014

    Aweso aitaka RUWASA ifikishe maji vijiji vyote

    Kila kitu kinalipiwa hakuna deni. NB: Mabomba yapo chini ya serikali na pesa/makusanyo yanachukuliwa na serikal.
  2. Achimwene2014

    Aweso aitaka RUWASA ifikishe maji vijiji vyote

    Kijijini kwetu kuna mabomba ya maji lakini tunakaa miezi mitatu mpaka minne bila maji ila siku yakitoka yatatoka siku 2 mpaka 3. Kwa kifupi bado tunatumia maji ya kisima. Je, wewe mhabarishaji unakiweka kijiji chetu kwenye kundi gani??
  3. Achimwene2014

    Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    NB *Ukishiba huwezi kujua kuna watu wana njaa. *UCHAWA unaliangamiza Taifa popote duniani.
  4. Achimwene2014

    Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    Usipotoshe jamii, kama huna taarifa rasmi tulia. Jiulize 1. Wakati Magufuli anazuia chomachoma wa korosho wasilipwe na kuruhusu wanajeshi wasimamie korosho mlipaji mkuu wa mauzo ya korosho alikuwa nani kama sio TMX?? 2. Malipo ya ufuta yalikuwa yanafanywa na nani?? 3. Kwanini wakati wa...
  5. Achimwene2014

    Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    TMX hawahawa ambao hawajanilipa pesa zangu za ufuta msimu wa 2020/2021 mpaka leo na MAMCU Ltd wanajua???
  6. Achimwene2014

    GE2025 Itakuwa ni aibu, fedheha na chukizo mbele za Mwenyezi Mungu kwa Mtanzania yeyote ambaye hatampigia Kura ya Ndio Rais Samia

    Tunasubiri ajira mwaka wa 10 sasa hatujui hatima yetu. Hao wengine wanashindwa nini kujiajiri??
  7. Achimwene2014

    Kwa maslahi mapana ya Taifa CCM imakinike sana na vijana

    Ukosefu wa ajira unatufikisha hapa tulipo.
Back
Top Bottom