Kijijini kwetu kuna mabomba ya maji lakini tunakaa miezi mitatu mpaka minne bila maji ila siku yakitoka yatatoka siku 2 mpaka 3. Kwa kifupi bado tunatumia maji ya kisima.
Je, wewe mhabarishaji unakiweka kijiji chetu kwenye kundi gani??
Usipotoshe jamii, kama huna taarifa rasmi tulia.
Jiulize
1. Wakati Magufuli anazuia chomachoma wa korosho wasilipwe na kuruhusu wanajeshi wasimamie korosho mlipaji mkuu wa mauzo ya korosho alikuwa nani kama sio TMX??
2. Malipo ya ufuta yalikuwa yanafanywa na nani??
3. Kwanini wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.