hapo sijuwi, lakini simu kama iphone huwezi kupata imei (njia rahisi ya *#06#) bila sim card. tatizo sio software mkuu labda kama wewe unajua ulijaribu kufanya modifctn yeyote ile hadi umepoteza imei
pole mkuu,
kuna ndugu yangu alikuwa anatatizo kama lako. alifanya kila ishu ya ku factory na hata ku root.
tatizo hapo ni wewe uliweka line (sim card vibaya), vipini vya kusomea line havigusi bati ya dhahabu ya sim card vizuri.
nilimtengezea ndugu yangu kwa kunyanyua vipini vya simu (sim...
Battery saving mode mfano kwa simu au computer hupunguza mwanga wa screen na inafanya simu au computa iwe ina run vitu kwa spidi ndogo ambayo itakusaidia kupata masaa zaidi kwenye kifaa chako
nashindwa kuicha opera kwenye simu. yaani yoka nokia symbian hadi leo bado najikuta ndio default browser. nadhani ni mazoea tu lkn ki ukwel8 browser zingine zime improve sana.
jaribu kubadilisha acces point
nenda settings,mobile network, access point, bonyeza menu button tengeneza new, alafu jaza kwenye apn internet na apn name andikainternet kisha save.
it download safi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.