ukizungumzia wasomi nchi hii ni kituko maana hata Rais wetu ni professor lakini ni majanga ndio maana hata bungeni wabunge wasome ni wa hovyo kuliko maji marefu
Hivi kwani chama kinaimarika kwa kuwa na umiliki wa ofisi ya ke au mapambano ya kisera na kuwapigania wananchi,Nyerere wakati wa mapambano ya uhuru na TANU yao walijenga ofisi wapi? na ilikuwa ya gorofa ngapi? ila niseme umesema kitu kimoja AIBU JAMANI! ni kweli maana mtu ambaye hata kama...
Hivi kwani chama kinaimarika kwa kuwa na umiliki wa ofisi ya ke au mapambano ya kisera na kuwapigania wananchi,Nyerere wakati wa mapambano ya uhuru na TANU yao walijenga ofisi wapi? na ilikuwa ya gorofa ngapi? ila niseme umesema kitu kimoja AIBU JAMANI! ni kweli maana mtu ambaye hata kama...
Wakiingia ikulu wataboresha reli ya kati itakuwa ya kisasa na ya mwendo kasi itakuwa hakuna tena wapanda Noah za chinja chinja wala mabasi ya dar - Mwanza wala singida na shinyanga maana itakuwa tamu kupanda treni kuliko kupanda basi
CCM walipokuwa wanatembea na wanamuziki wakina diamond na wengine walikuwa wanataka watu waje kucheza muziki au au kusikiliza hoja na kama wameanzisha matamasha ya muziki watuambie
Mh! hayo mambo ni mengi nchi hii kwa kifupi nchi hii inahitaji kufanyiwa maombi maana kila aliyeko juu ni kama mwenda**mu unategemea niniila mungu yupo tukishika madaraka 2015 watatueleza matendo yote waliyoyafanya tangu kipindi cha mkapa
CCM Arusha wamebakiwa na yale majengo ya chama yanayokodishwa kwa wafanyabiashara wanajilia kodi tu lakini siasa ilisha kufa na mwaka 2015 atabaki chatanda kama mama mwenye nyumba wa majengo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.