Biashara Ina vitu Ving inategemea wewe unauzoefu Gani lakin hapa kwa biashra yeyote ya jumla au kawaida inaenda sabab weng wanachukua hapa mizgo jumla wanaenda kuuuza wilaya nyingine
Habari za saiz wadau wa jf,
Kama kichwa Cha habari kinavosema, Napangisha fremu ipo SONGEA ugabe mjini kabisa. Fremu ni mpya yakuchangamkia maana songea kupata fremu sio kazi ndogo haswa ukifika mwez wa tatu kutokana na MZUNGUKO wa BIASHARA
KILEMBA NI MILLION MBILI
KODI NI LAKI MBILI KWA MWEZI...
Habar za muda huu wadau
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza nauza PIKIPIKI aina ya tvs 125cc imetunzwa vizuri
Haina kipengele chochote
PIKIPIKI ipo dar ubungo
Ina documents zote
Bei 1.5M mazingumzo yapo
Kwa atakayehitaji anaweza nichek 0680195414
Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe.
Kuhusu vigezo
Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash.
Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo...
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, Karimu Chipola amefungua rasmi mnada wa kwanza leo
Na bei ndo ni kuanzia kilo 4075 hadi 4070
Kwa kweli hongereni wakulima hiyo ni babu kubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.