Recent content by aBuwash

  1. aBuwash

    Napangisha fremu ipo Songea Mjini kabisa ugabe sehemu yenye mzunguko mkubw wa biashara

    Biashara Ina vitu Ving inategemea wewe unauzoefu Gani lakin hapa kwa biashra yeyote ya jumla au kawaida inaenda sabab weng wanachukua hapa mizgo jumla wanaenda kuuuza wilaya nyingine
  2. aBuwash

    Napangisha fremu ipo Songea Mjini kabisa ugabe sehemu yenye mzunguko mkubw wa biashara

    Habari za saiz wadau wa jf, Kama kichwa Cha habari kinavosema, Napangisha fremu ipo SONGEA ugabe mjini kabisa. Fremu ni mpya yakuchangamkia maana songea kupata fremu sio kazi ndogo haswa ukifika mwez wa tatu kutokana na MZUNGUKO wa BIASHARA KILEMBA NI MILLION MBILI KODI NI LAKI MBILI KWA MWEZI...
  3. aBuwash

    Nauza Pikipiki aina ya TVS 125 HLX

    Habar za muda huu wadau Kama kichwa cha habar kinavyojieleza nauza PIKIPIKI aina ya tvs 125cc imetunzwa vizuri Haina kipengele chochote PIKIPIKI ipo dar ubungo Ina documents zote Bei 1.5M mazingumzo yapo Kwa atakayehitaji anaweza nichek 0680195414
  4. aBuwash

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huna akili yani unarisk laki mbili Kwa elfu25, unarisk laki saba Kwa laki na kidg nonsense
  5. aBuwash

    Hii mbunga imekimbiwa awamu hii, watu wanaishi mjini

    Kuna inshu mzee nitext hapo pm au nitext kawaida
  6. aBuwash

    Hii mbunga imekimbiwa awamu hii, watu wanaishi mjini

    Beira boy ni pm nakutafuta sana mzee
  7. aBuwash

    Natafuta eneo la Car Wash Dar

    Zote ikiwezekana😁
  8. aBuwash

    Natafuta eneo la Car Wash Dar

    Mawasiliano yangu ni 0789306258 Kodi isivuke laki tatu Kwa mwezii
  9. aBuwash

    Natafuta eneo la Car Wash Dar

    Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe. Kuhusu vigezo Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash. Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo...
  10. aBuwash

    Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

    Betting ukisikia mkeka umetiki ndo mwaka huu watu wamewka ml 10 wanakuja kuvuna ml 28
  11. aBuwash

    Wakulima wa Korosho Mtwara, Mnada wa kwanza kilo 4075-4070

    Sana nguvu ya uchaguzi kwa hakika inaonekana
  12. aBuwash

    Wakulima wa Korosho Mtwara, Mnada wa kwanza kilo 4075-4070

    Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, Karimu Chipola amefungua rasmi mnada wa kwanza leo Na bei ndo ni kuanzia kilo 4075 hadi 4070 Kwa kweli hongereni wakulima hiyo ni babu kubwa sana
  13. aBuwash

    DOKEZO Wafanyabiashara wa ndizi mbivu Dar huchovya kwenye kemikali ili kuziivisha ndani ya muda mfupi. Afya za watu hatarini

    Fursa hio wenye hela mjenge hospitaliii maana wagonjwa siku hizi wamekuwa wengi kuliko wazima
Back
Top Bottom