Recent content by aBuwash

  1. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Msaada akaunti ya bolt kufungiwa

    Habarin wana JF Naomba nieleze kidogo changamoto yangu iliyonikumbuka Wenda Kuna wajuzi wanaweza nisaidia ndani humu. Mwezi wa tano nilisafiri kwenda mkoa kwaiyo nilikuwa na pkpk ambayo ilikuwa inafanya shughuli za bolt kwa ajiri ya kujipatia kipato Basi Kuna kijan nikamuachia pikpk aendelee...
  2. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Shukran kk mchango mzurii ngoja niufanyie research
  3. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Kuna fursa nimeiona hapa masasi hakuna movie point ya kisasa wengi wanafanya local lakin cjajua ni kutokana Haina wateja hii biashra au weng wameamua tu kuweka local kutokana na kukariri maisha
  4. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Sawa kk wewe unafanya hyo biashara tuzunguke raund hata Moja unionyeshe mzunguko nahaitakuwa free ntakulipa
  5. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Tandahimba kwenyewe wanauza bei hyo hyo ya elfu20
  6. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Kwa maana kwa hesabu zako angeteneza million 20 kwa bei ya 40000 idea nzurii ila hao wanunuzi wapo wapii wakukuungisha dumu zote hizo
  7. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Duka la mziki kwa maana vyombo vya mziki lazima uwe na mtaji mim mtaji wangu upo chini hivo itakuwa ngumu kumudu
  8. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Umelielewa Dili hilo
  9. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Shida ndo hyo unahitaji usafir pili ujuane na watu unaenda muuzia nani
  10. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inalipa Masasi kwa mtaji wa 1.5 million kwa mwaka 2026?

    Nashkuru kk ngoj nifanye research
  11. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa Milioni 1.5, Biashara ya Chips Njombe inalipa?

    Marked ✅
  12. aBuwash

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa Milioni 1.5, Biashara ya Chips Njombe inalipa?

    Sawa japo cjakuelewa mada na ulivyovielezea
Back
Top Bottom