atika makosa ambayo Maalim(RIP) alifanya ni kuhamia ACT. Au pengine siyo makosa bali alijua anachokifanya kwa sababu hata kuingia kwenye serikali ya kupewa slesi ya mkate haijakaa sawa. Huwezi kushiriki kwenye serikali halafu hapo hapo ukajiita ni mpinzani wa hiyo serikali.
heri nusu shari...
ukifungua kampuni HAKUNA changamoto utakazokabiliana nazo zaidi ya documents zinazohitajika kwa kazi hiyo zaidi faida ndio nyingi zaidi kwani utaaminika na wateja na hata wafanyakazi utakao waajiri
Kuhusu kodi za TRA hapo wao kwa mujibu wa sharia za makapuni serikali yaani TRA wanachukua...
Duuh waafrika bana wanapenda kulalia changamoto za wenzao mwenzenu anaomba ushauri note mnaingiza shida zenu mfano huyo jamaa ambaye anataka kumsajilia kampuni kibusara zaidi mueleze faida ya kampuni na tozo atakazo kutana nazo ndio mwisho umpe TANGAZO lako na kama ni kweli shughuli zako ni hizo...
Mimi nataka kuchukua mkopo nianzishe biashara nishauri nini cha kuzingatia najua umeshauri usichukue mkopo kuanzisha biashara lakini si namna nishauri mkuu
Hapo msichoelewa ni kwamba hizo ni rate ambazo zilikuapo mwanzoni kabla trump kufanya mabadiliko na zilikua fare kwa pande zote mbili kwa sababu marekani gharama za uzalishaji vitu vyake ipo juu ukilinganisha na china
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.