Nenda kwenye settings halafu fungua media, utaona never autoplay video, hapo changua, yaani iclick itakuwa blue, ukifanya hivyo autoplay utakua imeondoka ukitaka kuirudisha autoplay iclick tena itarudi autoplay
Mimi natumia fast charger hii inacharge i phone 100 % within 20-30 minutes, ziko aina nyingi bei yake iko juu kulinganisha na chaja za kawaida,lakini utasahau usumbufu wa kuchaji mara kwa mara, inauzwa na cable yake
Inategemea matufali ya aina gani, kama matufali ni mepesi basi hiyo frame ya mlango au dirisha inatosha kubeba uzito haina haja ya lintel. Kama Matufali ya kuchonga kwenye mawe ni mepesi sana. Vili vile hizi nyumba za zamani frme zake za milango na madirisha ni heavy duty na zinadumu muda...
Kwenye hizo nyumba ziko lintel lakini ni za matofali yaliyochanganywa na chuma.
Lintel ziko za aina nyingi tu, lintel za zege ilyochanganywa na chuma ni moja wapo.
Ni muhimu kwanza kufahamu scale ni nini:
Scale ni uwiano wa kitu kati ya model(mfano ) na actual( halisi au kama kilivyo).
Kwa nini tunatumia scale - tunatumia scale kudogosha au kukuza kitu kwenye mchoro, kwa mfano wa nyumba huwezi kuichora nyumba kama ilivyo inabidi uidogoshe ili uweze...
Kufanikiwa katika online shop unahitaji vitu vitatu vikubwa
1. Bidhaa yenye demand katika jamii.
2.Bei poa ili watu wanunue kwa wingi
3.Network nzuri ya kilogistiki ya kudeliver na kureturn material, ili uweze kupeleka order siku ile ile au siku inayofuata(fast delivery).
Hii point ya tatu ndio...
Fungua finance company (crowd funding) ya kuwakopesha wafanyabiashara, nafikiri kitu kama hichi kitawasaidia wafanyabiashara wengi wanaotafuta mtaji/ mkopo kwa bei nafuu
Jaribu kununua vitu vya bei ndogo kama mifuko ya karatasi, au hata sample ufanye mazoezi ya kununua, hakikisha mawasilisno yako unayafanya kupitia alibaba, na malipo kupitia alibaba kwa kutumia credit au debit, kama huna unaweza kutumia ya jamaa au rafiki.
Kwa wale walioko kwenye soko la kuuza used computers na spare part au accessory zake na wanatafuta soko la kununua vifaa hivi kwa bei poa ya jumla karibuni UAE, soko linajitosheleza kabisa, unachokitaka kwenye hili soko utakipata, model kuanzia 2010 and above.
Kwa maelezo zaidi niletee DM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.