JINA LA DINI
K
itu cha kwanza kabisa ambacho mtu anapaswa kukijua na kukifahamu kwa kina kuhusu Uislamu ni juu ya maana ya neno lenyewe Uislamu. Neno hilo ni la asili ya Kiarabu lenye maana ya kutii au kusalimisha matakwa ya mtu kwa Mwenyezi Mungu wa kweli wa pekee, ajulikanaye kwa Kiarabu kama...
Naona kaandika ili watu wachangie na yeye ajione kupost.
Na ujue ukiandika mambo ya kidini lazima uwe na ushahidi sio siasa hizi.roma ina utatu mtakatifu uislam hakuna utatu Bali ni ukafiri .Sasa imani zinazopingana zinaanzishwa na mtu mmoja kweli una akili za kijinga.shame on you...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.