Recent content by abuu khaulah

  1. A

    JamiiForums Tanzania Ningependa kujua mali za waislamu zilizotaifishwa ambazo rais Magufuli ameahidi kuzirejesha

    Anatumia mbinu hyo kwa ujanja.Anataka kurudisha shule zote za wakoloni zilizotaifishwa, ktk kanisa la katolic.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Gwajima amwaga cheche, amshauri Rais Magufuli ahame chama kama CCM wakimnyima Uenyekiti wa chama

    Anadhani tumesahau pale alipoiunga mkono CCM kupitia lowasa akitangaza nia kwa tiket ya ccm pale Arusha, Amri Abeid.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Gwajima amwaga cheche, amshauri Rais Magufuli ahame chama kama CCM wakimnyima Uenyekiti wa chama

    Angekuwa shekh ponda kasema haya, ungeckia yupo mahabusu hv sasa.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Maaskofu Katoliki wamtaka Rais Magufuli kutumia busara

    Oh, Allah bless my country
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mgomo waanza UDSM. Ni kuhusu fedha za kujikimu

    Nasubiria mawili.... kwa kuwa huu n udhaifu wa wazi kwa wizara husika hvyo nasubiri kutumbuliwa kwa ndalichako ama kujiuzulu kwa ndalichako". Magufuli babaaa, fanya kama ulivyosema wakati wa kampeni zako,
  6. A

    JamiiForums Tanzania UDSM kimenuka!

    Jamani kwa wale mliopo Udsm, 2peni sababu ya fujo zilizotokea ucku!
  7. A

    JamiiForums Tanzania NSSF wakataa kutumia jina la 'Mwalimu Nyerere Bridge' badala yake wanaita 'Kigamboni Bridge'

    Magufuli aliona aibu kuita daraja la kikwete, kwa mimi naona bora liitwe hvyohvyo "kigamboni bridge" maana magufuli kaonesha chuki za wazi kwa mzee wa msoga
  8. A

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu afanya ziara ya kushtukiza katika mabasi yaendayo kasi

    Wajenge hizo barabara zifke na huku gongolamboto. Syo kushtukiza tu, ipo siku watashituka wao.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Channel 10 Baragumu: Sheikh apotosha Ukweli

    Umeanza vizuri lakin umemalizia maneno ya kibaguzi ambayo inakupasa uombe tawba ktk hlo. Ndyo maana wazanzibar hamsomi dini na bdo mumegandana na bidaa, kwa kuwa munamezexhwa sumu za kipumbavu kuhusu mashekh wa bara. Simuungi mkono yeyeto kati ya huyo shekh wa chanel 10, wewe na shekhe. Somen...
Back
Top Bottom