Ukiisoma hii habari nchi hii ina kitendawili kimoja hakijateguliwa.
Kuna hii orodha ya watu was watu kwa mujibu wa imani zao za asili.
Kwa maana si watu wabaya, si magaidi. Wanatabia nzuri sana.
Orodha ni mrefu
Harbinder Singh Sethi
James Rugemalira
Sospeter Muhongo
Anna Tibaijuka...
Hivi bajeti ya kukimbiza mwenge ni sh ngp
Bajeti ya kuwalisha dawa watumia unga sh ngapi
Bajeti kwa wagonjwa was ukimwi ni sh ngapi
Bajeti ya kuendesha shirika la ndege ni sh ngapi.
Mambo yote haya ni liability kwa serikali ambayo inaweka vipaumbele kugharamia anasa au madhara yanayotokana na...
Maoni kutoka kwa wakenya
Kichocheo cha ushoga ni siasa za mrengo wa USA na EU
Kuna haja ya kuanzisha chama chenye mrengo wa siasa za mrengo wa UAE
Dunia inaulilia ustaarabu huu na mfamo mzuri tuliuona ktk mashindano ya kombe la dunia la Qatar.
Mashindano yaliyoingizia faida kubwa FIFA bila...
Kwa ufupi mtu yyt aliyezaliwa kando kando ya bahari hana asili ya afrika.
Na kama mtoa mada anataka turudi ktk tamaduni wa kiafrika basi aanze kuvaa magome na nguzi za wanyama
Wewe umetokana na imani ya kiktristo. Ni ni imani yenye mapungufu mengi yanayopelekea wafuasi wake kutoji na kisha kutopewa majibu ya yenye kukinaisha.
Waislam hatuna na shaka na Uwepo wa MwenyeziMungu.
Na hapa napenda niweke sawa jambo moja kuna mungu ambapo wana uwingi kwa maana ya Miungu...
Tuende na takwimu kwa kujiuliza maswali haya.
Ni awamu gani ya Rais ambae Baraza lake la mawaziri halikujaa mawaziri wa dini moja
Idadi sasa ikoje ukilinganisha na marais waliofanya uwino wa baraza la mawaziri.
Magu alisema unataka serikali ikulishe. Lkn ukweli ni kuwa ukiwa na serikali inayoamini ktk uchumi wa kodi badala ya uzalishaji lzm tupitie maumivu haya. Binafsi Nina mifano hai. Nazi inayouzwa dar sh 1500 mwenye shamba anaiuza kwa sh 250 hadi 300 Lindi.
Fenesi linalouzwa dar 4000 mkulima...
Tena uipate serikali au watendaji ambao wakiwa ktk majukumu yao ya kiserikali hapo dini wanaiweka pembeni na kubaki hawana dini. Ogopa sana. Hapo ujue dini yao na Mungu wao ni pesa pekee.
Kwanza nikupe hongera kwa kuongea kile unachokijua.
You are what U learn.
Hata hivyo kumbuka ktk dunia tulionayo kuna vita kubwa sana inayoendelea.
Information warfare.
Ktk vita hii kuna misinformation na disinformation. Ktk makala yako pamoja na kusimama roho yako ikiwa huru hata hivyo...
We uko wapi kwani PC ziko twangoma kituo cha sako. Kama uko tayari nambie kesho nizitayarishe ziwe sawa k.kutwa uje kufata mzigo. Kkama uko tayari toa namba yako ya simu
Mwambie aende muhimbili.
Kama ana utu atalia na kuuliza kwanini mlinificha.
Kuna RAIA hawapaswi kuitwa watanzania. Mtanzanua ni yule ataepata huduma ambazo watz ni hali yao kama elimu, afya nk
Ukienda muhimbili huduma wagonjwa wanacheleweshwa sana kupata huduma.
Kwa mfano vilipo 10...
Nianze kwa kuuliza ni utamaduni gani kwasasa ni unakubalika na matabaka yote.
Wa kimagharibi (marekani na ulaya)
Wa kimashariki ( Russia na China
Wa mashariki ya kati (Utamafuni wa kiislam)
Pili yawezekana kabisa mleta mada katoa taarifa hizi kutoka kwa mchungaji wake wa kilokole.
Else...
Kwa hiyo kwa tz unaweza kusema bakwata kuna ulamaa?!?; ukiwasikiliza wanapoongea na wanavyotoa hukumu utaweza kusema kula ulamaa ukiwafananisha na shkh ilunga.
Yule alitesoma, akaelewa akachambua, akabobea ktk mtazamo sahihi. Hugo ndie ulamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.