Recent content by Abuu Abdurahman

  1. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza tovuti yako binafsi/ofisi au kwaajili ya kujiingizia kipato

    Wakati nimeandika huu uzi Chatgpt haijakuwepo kabisa wala AI agent yoyote katika zinazotumika sasa. Hata saivi kuna vitu vingi huwezi kumaliza na AI
  2. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza tovuti yako binafsi/ofisi au kwaajili ya kujiingizia kipato

    Ni muda sana tuliacha haya mafunzo. je tuendelee wakuu!
  3. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Kuna style ya vibaka kuvaa baibui usiku ukijua ni wanawake kumbe vibaka

    Kwaiyo inakua kama watoza ushuru tu
  4. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa za wake wengi ni chaguo la mwanaume na kwa wanawake ni mila na suna ya imani na hulka ya wingi ndani ya nafsi za kike

    Ndoa mke zaidi ya mmoja wataipinga, watakwambia ni unyanyasaji Lakini Mwanamke kupigwa miti na watu wawili au zaidi kwa pamoja safi tu Au Wanawake wawili kupigwa kwa pamoja na jamaa mmoja sawa tu 🚮🚮
  5. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

    Simba hatulii ndio maana akaitwa TAL 😃
  6. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Nimepata Kazi Zanzibar. Zipi changamoto na faida wa kuishi huko?

    Pesa inapatikana lakini lazima mtu awe na ramani kwanza, uyo mwanafunzi anasoma wapi?
  7. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Kila inapokaribia mitihani napata stress kali nashindwa hata kulala naishia kupostpone chuo. Naomba msaada

    Ni dalili ya kuwa husomi, unaupungufu wa shule kichwani Ukiwa umejiandaa vyema hutaogopa mitihani bali ndio utaomba ije kila siku, kwasababu ikija unaibutua Kuwa na mapenzi kwa unachokisomea, usome kama mtu ambae unataka kuwa expert kwenye hilo eneo lako
  8. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Kwanini haya yanafanyika Zanzibar?

    Eeh.. Samahani, kazi ilikua inahusiana na kitu gani?
  9. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama hela zake hazionekani mwachishe hiyo kazi anaaga ana kwenda wapi umuhudumie mwenyewe

    Safi kabisa.. Hongera 👏
  10. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Punguza mazoea ukishaanza kuzisikia hizi kauli kutoka kwa mwanamke wako

    Na mwanamke anaesema "Mimi ningekua mwanaume, wanawake wangenikoma" huwa anamaanisha nini?
  11. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Tusilaumu mabinti wanaokwepa wanaume maskini, ndoa za kiafrika ni muunganiko wa familia mbili, upo tayar binti yenu aolewe na maskini?

    Umetema madini mzee.. Maskini aliejisahau ni mzigo mkubwa, apo ata familia inaweza kuja kukuletea sulubu baadae, umeangalia mbali sana Kwaiyo Matako makubwa anajichoresha tu
  12. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana jitahidini muoe mwanamke anayekupenda

    Umeongea ukweli mtupu Kabla hujaoa hakikisha mwanamke kuwa anakupenda kinyume na hapo Majuto ni mjukuu “Women are loyal to their feeling” Kama uko kwenye feeling zake uyo ni wa kwako ila kama haupo hamna rangi utaacha kuiona
  13. Abuu Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa awamu ya 3 wa Shindano la Stories of Change

    Namuombea radhi kwa niaba
Back
Top Bottom