tatizo una upeo mdogo sana. kuna vitu vidogo sana unashindwa kung'amua. kama Dubai wametumia njia fulani sio lazima na sisi tutumie hiyo hiyo. wakati mwengine mazingira hayafanani na mahitaji ya wakati pia. Royal tour ni kwa mazingira yetu. kagame yeye kafanya royal tour na bado anatumia akina...
Mama tuonee huruma watanzania. Hay madeni makubwa makubwa yatatupa shida sana mbeleni. Fanya kile unachoweza kwa vyanzo vya ndani. hata ufanyejeTanzania haiwezi kugeuka ulaya over night. wanasemaga wenyewe hata roma haijajengwa siku moja. na wala watanzania hawanaga shukurani. elewa hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.