Hapa South Africa nilipata kwenda kwenye Ubalozi wa Nigeria kwa ajili ya visa ya kutembelea kwao Wallah! Nilishangaa hawa jamaa wanavyo thamini watu wao na si kama TZ, kwanza ktk huduma zao hakuna democracy Nigerians first kisha ndiyo mataifa mengine kwa kuhudumiwa na pia Ubalozini kwao kila M...
Mimi nipo hapa JohanneSburg nikiishi kw muda mrefu sasa ila kwa kweli ukiangalia hivi vitendo ambavyo tunafanyiwa wageni hapa hasa wa Afrika ni vya kinyama kabisa, na ninacho shangaa ni kwamba hata serikali ya Soith Africa nayo imechangia kwa kiwango kikubwa sana kuenea kwa hizi vurugu hapa, as...
Hapo ni maslahi tu, sababu umeme wanategemea utoke Msumbiji na baada ya mashambulizi kutokea rais wa msumbuji hakuwahi kusema chochote bali alicho fanya ni kufanya ziara ya siku 3 nchini Tanzania. Je kuna nini hapa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.