Recent content by ablekats

  1. A

    JamiiForums Tanzania Ripoti: 61% ya Wahitimu wa vyuo vikuu wana uwezo mdogo kimaarifa

    Pamoja sanaah elimu ya bongo bila kujiongeza unatoka kapa kama unataka kuwa compotent cheza na youtube n google vitu vipo huko gpa za kibongo ni uchwara better upate gpa ndogo ila kichwan ujae ufundii kwale wana science basically IT SECTOR
  2. A

    JamiiForums Tanzania Hivi ni Vyuo vinavyoharibu Elimu ya Vyuo vikuu vya Tanzania

    Hvi ss wa tz tushaga rwoga toka zamn tu hyo udsm na sua mbna nchi ina lia watahalumu feki tatzo ni mfumo mzma wa elimu inabidi serikali hi uchunguze kwa umakini sasa maprofesaa wetu ambao tunategemea wawe vyuoni wanatoa ujuzi wao wapo kwenye siasa alafu tuna baki kulahamu wanafunz hapa bongo...
  3. A

    JamiiForums Tanzania TCU hili halijakaa sawa kabisa, siamini kuwa hamulioni!

    Haaah walewale wa arts akili finyo tuu unasoma historia alafu ufikirie mbali poleeee
  4. A

    JamiiForums Tanzania TCU hili halijakaa sawa kabisa, siamini kuwa hamulioni!

    Hivi serikali mbona huwa haitoi amasa kwa wanafunzi kusoma masomo ya arts ujulize ata wew kuwa arts ni pumbaaa
  5. A

    JamiiForums Tanzania TCU hili halijakaa sawa kabisa, siamini kuwa hamulioni!

    Jamn wana art uta wajua tu akiri finyo huwez soma historia ukawa na akiri kwan madakatri au ma engineer uwa wakitatua matatzo kutumia taahaluma uwa wanasoma historia jamn arts jamn akili finyo kama chelewa ya ufagio
  6. A

    JamiiForums Tanzania TCU hili halijakaa sawa kabisa, siamini kuwa hamulioni!

    Haaah nirudie wapi wew kwan wew unajua npob wapi Akiri iksha poiint--->>> unawaza ovyo tu
  7. A

    JamiiForums Tanzania TCU hili halijakaa sawa kabisa, siamini kuwa hamulioni!

    Mtu anae compare arts na science muulize maths ana mgapi 0'level mtu swali eti mwanafunzi wa form six.(effects of slave trade )unatakana ufanye comparison hapo. Wew unatakua akiri zako zina --->to NULL jitu zima unasoma historia ya ulimbobo alafu unajihita msomi eti profesa wa kiswahili shiiiit
  8. A

    JamiiForums Tanzania TCU hili halijakaa sawa kabisa, siamini kuwa hamulioni!

    Kweli mtu uwez ukasoma what ia slave trade ukawa unafikiria wew kufili kwako point to NULL Arts->null thinking capacity Jitu zima unasoma historia ya mkwawa aibu una
  9. A

    JamiiForums Tanzania ITV Kipima Joto

    Sio wote wan ao hitaji mkopo waruhusu tatzo pesa tatzi kwenda chuo
  10. A

    JamiiForums Tanzania Vyuo Vikuu sita vyazuiwa kudahili wanafunzi kwa mwaka 2016/2017

    Unajua maana ya kilaza au unaropoka udom mfumo wa kutoa matokeo unao tumika ni udom-sr umetengezwa na wanafunz wenyw udsm alis wanalipia toka watch ur words kilaza mkubwa
  11. A

    JamiiForums Tanzania Je Ndalichako hajasoma vigezo vya TCU?

    Leo ma profes wa bongo ni wanasiasa alafu chuoni wanafundisha TA(1.DEGREE holder) alafu tunataka elimu boraaaaah huwii kweli bongo tumerwoga mtu kaka lili theory kafauli eti ni mtaahalamu kisa ana A-A-A. Ngoja tuone cream inayokuja chuoni mwaka huu kama itazalisha watahalumu weng. Tanzania tuna...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini tunapandisha viwango vya ufaulu kuingia chuo kikuu wakati tuna idadi ndogo ya wasomi?

    Kwani wew elimu ya chuo kikuu ya bongo ni mbovu inatoa wasomi feki unaposema ufaulu unamaan gani maake tatzo mfumo sio wanafunz tu
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini tunapandisha viwango vya ufaulu kuingia chuo kikuu wakati tuna idadi ndogo ya wasomi?

    Nani kasema A A A NI QUALITY MTAHALAMU WEW UMESOME HKL
  14. A

    JamiiForums Tanzania Tume ya vyuo vikuu (TCU) yatoa ufafanuzi kuhusu alama za kudahiliwa vyuoni

    MM NAFIKIRI TCU HAYA MARAKEBISHO YA MARA KWA MARA YA FANYWE KWENYE MFUMO MZIMA WA ELIMU KWA SABABU HATA MAJEMBE WANAO MALIZA BADO NCHI INA LIA NI WATAHALAMU FEKI MTU KAKAKILI THOERY NO PRACTICAL UNAMUITA MTAHALUMU BHANAA EHH TUFIKE HATUA HAYA MAMBO TUYACHUKUE KWA UDANI ZAID KWA SABABU MWENYE GPA...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Tume ya vyuo vikuu (TCU) yatoa ufafanuzi kuhusu alama za kudahiliwa vyuoni

    Kwani mkuu watahalumu feki wanaletwa na average kubwa au mfumo mzima wa elimu mfumo mbovu science practical znafanywa kwa msimu hapo utahalumu unatoka wapi wakati wanaopata gpa kubwa chuoni wanakua ma TA sasa huo utahalamu wa ni kufundisha ndo unaita utahalumu acheni kufananisha maswala ya...
Back
Top Bottom