Pamoja sanaah elimu ya bongo bila kujiongeza unatoka kapa kama unataka kuwa compotent cheza na youtube n google vitu vipo huko gpa za kibongo ni uchwara better upate gpa ndogo ila kichwan ujae ufundii kwale wana science basically IT SECTOR
Hvi ss wa tz tushaga rwoga toka zamn tu hyo udsm na sua mbna nchi ina lia watahalumu feki tatzo ni mfumo mzma wa elimu inabidi serikali hi uchunguze kwa umakini sasa maprofesaa wetu ambao tunategemea wawe vyuoni wanatoa ujuzi wao wapo kwenye siasa alafu tuna baki kulahamu wanafunz hapa bongo...
Jamn
wana art uta wajua tu akiri finyo huwez soma historia ukawa na akiri kwan madakatri au ma engineer uwa wakitatua matatzo kutumia taahaluma uwa wanasoma historia jamn arts jamn akili finyo kama chelewa ya ufagio
Mtu anae compare arts na science muulize maths ana mgapi 0'level mtu swali eti mwanafunzi wa form six.(effects of slave trade )unatakana ufanye comparison hapo. Wew unatakua akiri zako zina --->to NULL jitu zima unasoma historia ya ulimbobo alafu unajihita msomi eti profesa wa kiswahili shiiiit
Kweli mtu uwez ukasoma what ia slave trade ukawa unafikiria wew kufili kwako point to NULL
Arts->null thinking capacity
Jitu zima unasoma historia ya mkwawa aibu una
Unajua maana ya kilaza au unaropoka udom mfumo wa kutoa matokeo unao tumika ni udom-sr umetengezwa na wanafunz wenyw udsm alis wanalipia toka watch ur words kilaza mkubwa
Leo ma profes wa bongo ni wanasiasa alafu chuoni wanafundisha TA(1.DEGREE holder) alafu tunataka elimu boraaaaah huwii kweli bongo tumerwoga mtu kaka lili theory kafauli eti ni mtaahalamu kisa ana A-A-A. Ngoja tuone cream inayokuja chuoni mwaka huu kama itazalisha watahalumu weng. Tanzania tuna...
MM NAFIKIRI TCU HAYA MARAKEBISHO YA MARA KWA MARA YA FANYWE KWENYE MFUMO MZIMA WA ELIMU KWA SABABU HATA MAJEMBE WANAO MALIZA BADO NCHI INA LIA NI WATAHALAMU FEKI MTU KAKAKILI THOERY NO PRACTICAL UNAMUITA MTAHALUMU BHANAA EHH TUFIKE HATUA HAYA MAMBO TUYACHUKUE KWA UDANI ZAID KWA SABABU MWENYE GPA...
Kwani mkuu watahalumu feki wanaletwa na average kubwa au mfumo mzima wa elimu mfumo mbovu science practical znafanywa kwa msimu hapo utahalumu unatoka wapi wakati wanaopata gpa kubwa chuoni wanakua ma TA sasa huo utahalamu wa ni kufundisha ndo unaita utahalumu acheni kufananisha maswala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.