Makonda mwingine huyu hapa [emoji115]
Hajui alizungumzalo. Fuatilia dunia inaendaje, huwezi Linda kiungo cha mtu tena kilichojificha kwa kumuweka jela. Period
Mkuu huu unafiki umeutoa wapi? Mimi sio SDA lakini kwenye chakula wako sahihi sana tatizo ni ulafi wetu tuu walinionyesha vifungu nikawaelewa sana
Tatizo nimeshindwa kuacha Noah maana nyama Yake tamu sana. Napiga kuanzia ile pua hadi mifupa yote
Sisi vanyalukolo hatuhitaji hoteli za kifahari tunatandika mkunungu wetu na ukisha tunahamia kwenye vitindi kushushia ulanzi hostel ya kifahari ya nini tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.